Dr. Wilbrod Peter Slaa ni mwaasiasa hasa

Dr. Wilbrod Peter Slaa ni mwaasiasa hasa

ZZK ni mtu hatari sana
Mimi niliwahi andika hapa siku moja
Kwamba alikuja Ujerumani anajisifu nikamwambia rafiki yangu huyu ni mnafiki kufa
Rafiki yangu alinibishia ila kwa sasa ameniambia kweli rafiki wewe unaona mbali
I am telling you Zitto is a big delinquent

Wanywa mbege bana mnanifurahisha kweli! Kusoma mmeshindwa, hata picha hamuoni?

Kweli mbege na viroba vinatia sumu kwenye akili!
 
ZZK ni mtu hatari sana
Mimi niliwahi andika hapa siku moja
Kwamba alikuja Ujerumani anajisifu nikamwambia rafiki yangu huyu ni mnafiki kufa
Rafiki yangu alinibishia ila kwa sasa ameniambia kweli rafiki wewe unaona mbali
I am telling you Zitto is a big delinquent

UNAFIKI ni subjective-hata MANDELA, MAKABURU walimuona MNAFIKI-inawezekana wewe ni KABURU-wachaga wote na watu ambao ni microscopic wanamuona ZZK msaliti-BAREGU, ARFI na MKUMBO wanamuona jembe na ndio maana muandishi mmoja kasema wanaompa support Mbowe(form IV) ni SUGU(form III), MNYIKA (form VI), LEMA( Dip -chuo hakijulikani), MSIGWA (std VII) etc na anaomuunga mkono ZZK ni wenye mawazo mapana kama yeye na inawezekana ugomvi ni UFAHAMU vs ..........................
 
nakushauri kufanya tafiti kwanza kabla hujaenda kenye conclusion -iliwekwa picha hapa ya uongo kuonyesha yupo KAHAMA ambayo yeye aligonga LIKE kuashiria ile nyomi ndiyo iliyokuwapo siku alipohutubia Kahama, picha ambazo Mods walizibaini ni za uongo na kuifunga thread-unawezaje kusema haji mitandaoni? huyo mzee ni muongo na ndio maana amekuwa akitoa kauli zenye kukinzana mara kwa mara na kwa taarifa yako ndiye mratibu wa Scandals nyingi zinazomuhusu ZZK ili kumbeba Mbowe kama alivyofanya Mbowe kumbeba yeye pale ZZK alipotangaza kugombea URAIS-generally kutokana na yeye kuanza MFUMO wa maisha mapya uzeeni(familia mpya na mtoto mchanga) is so much confronted na mahitaji na kwa ajili hiyo hawezi kufanya/kutenda nje ya mahitaji yake ya kimwili na ndicho anachokifanya sasa huyu mzee na ilifika wana CDM wenyewe mtandaoni waliwahi kumkemea kwa tabia iliyoonyeshwa na MSHUMBUSI kuwa anavyo m-control mzee alikuwa akitumia hadi ID ya SLAA kutoa majibu ya kibwege mtandaoni-kimsingi mzee hana say kwa mama na wahuni wachache (wachumia tumbo wa CDM)

fanya utafiti kidogo

Umepanic Mkuu! mbona mapovu fumufumu...!!? tulia ulambe dawa.
 
Bandiko hili linanikumbusha sana maudhui ambayo huwa anayatoa VUTA-NKUVUTE a.k.a Mzee Tupatupa.

muwamba ngoma mara zote huvutia kwake.

Tutasikia na kuona mengi sana kuelekea uchaguzi wa ndani wa CHADEMA na pia uchaguzi wa watu watakaosimama kuiwakilisha CHADEMA katika majimbo mbali mbali 2015.

Nyota njema huonekana asubuhi na pia jogoo wa shamba akiwika........

Ili uweze kuonekana kwenye kandamnasi, unashauriwa ukae mbele ya haraiki.
Mkuu MwanaDiwani, unataka kumaanisha nini hapo? Wewe unamuonaje Dr.Slaa? Unamuita mwenyewe kada wenu VUTA-NKUVUTE. Akija mnakimbia na kumkana. Usiku mwema!
 
Last edited by a moderator:
Pole, Petero ni Kiswahili cha Petro na Peter kwa Kiswahili ni Kiswahili Pita, na mimi ni Pasikali!.
Au

unapenda tukuite kwa kidhungu tub?.
Pasco.
Petro ni kiswahili cha Peter.Petero ni kikabila....ha ha ha ha ha ha ha
 
Dakika zinahesabika za miccm kuvurugana kwa mambo yafuatayo:
1. Fedha walimpa zzk hakufanikisha mipango yao
2. Fedha zinazutumika sasa hv kuhonga vijana ili wavuruge mikutano ya cdm ambayo kimsingi imefeli
3. Kinyang'anyiro cha urais ndani ya ccm hapo ndipo patachimbika...simnawajua manguli wanaotaka urais?

Hongera sana dr. Slaa Mungu yupo pamoja nawe na CHADEMA kwa ujumla wake
 
Pole, Petero ni Kiswahili cha Petro na Peter kwa Kiswahili ni Kiswahili Pita, na mimi ni Pasikali!.
Au

unapenda tukuite kwa kidhungu tub?.
Pasco.

.....ha ha ha Pasco hii Pasikali inanikumbusha kule kwa washosha ng'ombe!!!
 
Wewe mnafiki tu wewe ni CHADEMA damu haiwezekani ushabikie hatari ya mwenzio "Alitahadharishwa kwenda Kigoma ila kaenda kwa lazima je kuna agenda gani ya siri?"
 
Ccm hawawez siasa safi

wamemgeuza zzk,msukule wao


na lenyewe limekubali tu,na kibur chake cha kishamba

mbowe ndiye aliyemfundisha kuvaa suti

naye sku kawa tajir,anamwona mwenyekiti wake hafai?????
 
Wewe mnafiki tu wewe ni CHADEMA damu haiwezekani ushabikie hatari ya mwenzio "Alitahadharishwa kwenda Kigoma ila kaenda kwa lazima je kuna agenda gani ya siri?"
Mkuu mimi si mwanachama wa chama chochote.Kama kuna mtu humu wa kuthibitisha chama changu na ajitokeze.Ukweli tu nimejaribu kusema.Umeumia eeh?
 
Mkuu mimi si mwanachama wa chama chochote.Kama kuna mtu humu wa kuthibitisha chama changu na ajitokeze.Ukweli tu nimejaribu kusema.Umeumia eeh?
Sijaumia ila ulivyojieleza kupitia habari uliyoleta maana hakuna wa kuthibitisha maana ukweli unao moyoni mwako!
 
nakushauri kufanya tafiti kwanza kabla hujaenda kenye conclusion -iliwekwa picha hapa ya uongo kuonyesha yupo KAHAMA ambayo yeye aligonga LIKE kuashiria ile nyomi ndiyo iliyokuwapo siku alipohutubia Kahama, picha ambazo Mods walizibaini ni za uongo na kuifunga thread-unawezaje kusema haji mitandaoni? huyo mzee ni muongo na ndio maana amekuwa akitoa kauli zenye kukinzana mara kwa mara na kwa taarifa yako ndiye mratibu wa Scandals nyingi zinazomuhusu ZZK ili kumbeba Mbowe kama alivyofanya Mbowe kumbeba yeye pale ZZK alipotangaza kugombea URAIS-generally kutokana na yeye kuanza MFUMO wa maisha mapya uzeeni(familia mpya na mtoto mchanga) is so much confronted na mahitaji na kwa ajili hiyo hawezi kufanya/kutenda nje ya mahitaji yake ya kimwili na ndicho anachokifanya sasa huyu mzee na ilifika wana CDM wenyewe mtandaoni waliwahi kumkemea kwa tabia iliyoonyeshwa na MSHUMBUSI kuwa anavyo m-control mzee alikuwa akitumia hadi ID ya SLAA kutoa majibu ya kibwege mtandaoni-kimsingi mzee hana say kwa mama na wahuni wachache (wachumia tumbo wa CDM)

fanya utafiti kidogo

unaongea nn wewe punga
 
jibu hoja usiwe mvivu wa kufikiri-kusoma hujui hata PICHA nayo huoni? mim shule kitambo sana na wala sio size yako wewe usiyejitambua.

Mkuu hivi ukikuta mtu yuko juu ya mti amekalia tawi analolikata unahitaji kufikiri sana (ili usiwe mvivu wa kifikiri!!) ili kubaini kwamba tawi analokata likianguka naye ataanguka???
 
Uzi uko safi ila wale wa kuvuruga bado hawajafika sijui wako wapi
 
Ccm hawawez siasa safi

wamemgeuza zzk,msukule wao


na lenyewe limekubali tu,na kibur chake cha kishamba

mbowe ndiye aliyemfundisha kuvaa suti

naye sku kawa tajir,anamwona mwenyekiti wake hafai?????

anamwambia eti mwenyekiti yuko "too local" kisa vipence alivyohongwa na CCM
 
Back
Top Bottom