Dr. Wilbroad Slaa yuko wapi?

laki si pesa.

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
9,984
Reaction score
9,757
Wana jf.
Dr.Wilbroad Slaa, rais wa mioyo yetu toka uchaguzi mkuu ufanyike yuko kimya hatujasikia maoni yake. Yuko wapi rais wa mioyo yetu,? Yuko Tanzania au bado yuko mapumzikoni Marekani?
Dr. Slaa popote ulipo tunakuomba ujitokeze utoe maoni yako roho zetu zitulie.

==============================

Majibu ya Dr Slaa

===============================

 
Mzee Mwanakijiji, idawa tuambieni dr. slaa yuko wapi?
 
Kuna tetesi ana mchumba mpya na atapewa ukuu wa wilaya kama kifuta machozi.
 
Huyo mzee watu walikuwa wakijinasibu rais wao wa moyoni lakini pesa imebadali hadi mioyo ya watu teh!
 

Dr mihogo
 
Watu wenye jibu ni ama Bi Jose Mushumbuzi (mchumba wake) au Mzee Mwanakijiji (shosti wake). Nje ya hapo utaiona namba!
 
Bonyeza HAPA kuweza kujua yupo wapi
 
Na ukiambiwa yupo California Marekani utafanyaje? Asee jitahidi kutafta mambo yenye tija sio mambo ambayo hata ukiambiwa majibu hayatakusaidia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…