teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
wakuu ninaomba maelekezo cm yangu nikiongea na mtu yeye hanisikii vizuri sbbu kunakuwa na makelele mengi hata kama sehemu niliyopo ni tulivu sana sijui ni tatizo gani?
hapo ulipo hakunaga miti panda juu ya mti mtasikilizana tu.
hapo ulipo hakunaga miti panda juu ya mti mtasikilizana tu.