Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
kuna haja ya kuwa na hospitali za rufaa za kisasa za jeshi
Hichi kinachotokea sasa ni jambo zuri. Natamani madaktari wengine wanaoleta matatizo wapate kipondo
Kichwa kinasema "Ulimboka Kutema cheche". Wewe hiyo ya "Atema cheche" umeitoa wapi !!!?????"Ulimboka atema cheche" Mbona tofauti na kilichoandikwa??
Still does not make sense, ni habari ambayo lolote.Kichwa kinasema "Ulimboka Kutema cheche". Wewe hiyo ya "Atema cheche" umeitoa wapi !!!?????
Kutema - ijayo,bado haijatemwa.
Atema - iliyopita,imeshatemwa.
Tusikurupuke kwenye kusoma na kuelewa mada.
Tunamwombea apone haraka ili atutemee cheche hizo, asante sana kwa taarifa mkuu.
Hukisoma vizuri wanasema hakuna mtu aneyeruhusiwa kuingia zaid ya ma dk.naomba kujuwa ninani aliyekwenda kurekod hy sauti!
if you want to know the "state",, touch it!
Kichwa cha habari hakiendi sawa na maelezo.............
Kichwa cha habari hakiendi sawa na maelezo.............
kama kweli polisi wanahusika....! Madakari wasiwatibu polisi hata kama wakipigwa risasi na majambazi..! Waandae kabisa sindano za sumu.....! Kwa polisi na wanasiasa waliohusika..!