Lakini ana kashfa ya kusababisha vifo vya watu kwa kuongoza mgomo. Akigombea CDM, hata mimi sitampigia kura, ingawa pia sitaipigia CCM. Nipo tayari niwapigie TLP au AFP, lakini si Ulimboka!
Hilo ndilo neno. Wanaharakati wengi wakiingia kwenye siasa huwa wanaharibu.Siungi mkono hoja!
Nashauri aendeleze harakati kwenye fani yake!
Si busara kudhani kila mwana harakati awe mwanasiasa.
Ni mtazamo wangu tu anyway!
Yule dokta muuaji?
Lakini ana kashfa ya kusababisha vifo vya watu kwa kuongoza mgomo. Akigombea CDM, hata mimi sitampigia kura, ingawa pia sitaipigia CCM. Nipo tayari niwapigie TLP au AFP, lakini si Ulimboka!
Ulimboka is a liability to whatever party itakayoamua kumsimamisha kugombea ubunge.
Hata Steven Kanumba nae ajiandae kuchukua jimbo
What do you mean?Wakuu kwani Freemason nao wanapokewa na M4C wakati inajulikana kuwa M4C imebarikiwa na mwenye enzi Mungu?
Wakuu kwani Freemason nao wanapokewa na M4C wakati inajulikana kuwa M4C imebarikiwa na mwenye enzi Mungu?
ulimboka anatokea tanga jimbo la kilindi. kule hawana lao labda mama afe