Tuendelee kumuombea dk, ukitafakari mateso aliyoteswa waweza kububujikwa na machozi usiku kucha, yakaribiana na mateso ya bwana wetu Yesu Kristu pale alipibebeshwa msalaba na kuambatanishwa na nao na misumali na kuanza kupigwa mijereji huku akitobolewa mbavuni. yalifanyika ili sisi tupone, hali kadhalika kwa dk.