Dr. Ulimboka hatukuelewi ! ! !

He, bado unangoja aseme, utangoja sana. Dr. alishasema mapema sana na hamjamuunga mkono kwa lolote. kwa hiyo kijana wa watu amesoma nyakati. anajuta kuwa mtz maana hakuna anaye ungana naye katika mapambano haya. watanzania wana LAANA YA WOGA NA UPUMBAFU. HALAFU NI WAMBEYA NAMBA MMOJA. NI MA NATO. NO ACTION TALKING ONLY[NATO]. HALAFU YAMEGAWANYIKA KINOMA. MAANDAMANO YA SIKU MMOJA TU SERIKALI INGEWAKAMATIA HAO WATU ALIOWATAJA DR. ULIMBOKA , NA KINGEELEWEKA. WATAWALA WA TZ WANAWAJUA WANAOWATAWALA. HEEEEE TZ ABIRIA CHUNGA NZIGO WAKO.
 
Si unajua watz tena, mtishie kidogo, kisha mlambishe kajiasali kadogo kwisha habari yake! Atacheza kila ngoma utakayompigia. Mimi naamini kuwa kaasali na kakitisho kadogo kameshaminya haki za mamia ya watz. Si nnaijua sirikali yetu!. Uli angejua hisia zetu angeacha mchezo anaofanya. Hapo ujue anatafutiwa cheo na kazi nzuri na kajumba kanajengwa chapchap ndipo atakuja na kudai...ooh mimi ndiyo najua mchezo wote, aliyenidhuru ni yule aliyekamatwa! Nk, subirini tu mtasema nilisema

Unamwongelea Zito?
 
Kwa kweli tulimlilia na kusikitika sana sana kwa yaliyomsibu Mtanzania mwezetu Dr Ulimboka. Tulitarajia kusikia mengi mara baada ya kupona na kurudi nyumbani. Lakini hadi hii leo bado yuko kimya. kwa kweli Dr umetukatisha tamaa sana sana.
 
Back
Top Bottom