He, bado unangoja aseme, utangoja sana. Dr. alishasema mapema sana na hamjamuunga mkono kwa lolote. kwa hiyo kijana wa watu amesoma nyakati. anajuta kuwa mtz maana hakuna anaye ungana naye katika mapambano haya. watanzania wana LAANA YA WOGA NA UPUMBAFU. HALAFU NI WAMBEYA NAMBA MMOJA. NI MA NATO. NO ACTION TALKING ONLY[NATO]. HALAFU YAMEGAWANYIKA KINOMA. MAANDAMANO YA SIKU MMOJA TU SERIKALI INGEWAKAMATIA HAO WATU ALIOWATAJA DR. ULIMBOKA , NA KINGEELEWEKA. WATAWALA WA TZ WANAWAJUA WANAOWATAWALA. HEEEEE TZ ABIRIA CHUNGA NZIGO WAKO.