Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Jaman kwa yeyote mwenye taarifa zoote sahihi kuhusu maendeleo ya faya ya dr ulimboka ni vema na haki akatupatia wanajamvi wenzie.
Anaendelea vizuri, anaongea, anakula na anaweza kufanya mazoezi mepesi kama vile kutembea, kukaa. Bado yuko chini ya uangaliyi wa karibu wa madaktari hasa juu ya ufanyaji kazi wa internal organs zake, hass figo. Itamchikua muda kidogo kwa madaktari kujiridhisa kama figo zimetengemaa.
Aah Nilisahau; anakusalimia sana (ametoa salamu kwa wote wanaomuombea kwa Mungu apone haraka na kuja kulijenga taifa lake, naamini na wewe ni mmoja wapo.)