Dr. Slaa jana alianza ziara ya siku 9 chini Marekani ambako amealikwa na Gavana wa jimbo la Indiana.
Akiwa huko Dr. Slaa atakutana pia na maprofesa mbali mbali na kutoa mihadhara mbalimbali kuhusu masuala ya uwekezaji, uchumi nk. pia Dr. slaa atakutana na viongozi mbali mbali wa serikali ya Marekani.
Chadema siyo Ccm ziara zote Kinana, sisi tuko site tunapiga mzigo. Tunampa nafasi Dr kufikiria jinsi ya kuongoza nchi ilyoharibiwa na magamba kila sekta!
Chadema siyo Ccm ziara zote Kinana, sisi tuko site tunapiga mzigo. Tunampa nafasi Dr kufikiria jinsi ya kuongoza nchi ilyoharibiwa na magamba kila sekta!
Kila lakheri Dr, nenda salama na Mungu akurejeahe salama.
Tumemiss sana zile hotuba makini toka kwa mtu makini. Imekuwa heri kwetu hata zile hotuba mbovu za kila mwisho wa mwezi zinazotolewa na Mmiliki wa Viwanda vya porojo hatujazipata otherwise ingekuwa Stress tupu hapa ndani..!!
Nenda Kamanda Mungu akutangulie na akufanikishie safari yako kulingana na mipango yako.
Saccos kwa kuchoma pesa nawakubali.Ngoja October muone ruzuku yenu itakavyoporomoka.Lazima kila mtu atachagua mlango wa kutokea.Wamburu kivyao na Wachaga kivyao.