- Hivi mnatumia vigezo gani kuwalinganisha maana kama ni kutumia standard za kimataifa politically, Makamba as much as I disagree na style ya uongozi wake, bado anakuwa the man kwa sababu amekiwezesha chama chake kushinda uchaguzi! So!
- Chama chochote cha siasa Duniani, kinakuwa na lengo moja tu! Nalo ni kushinda uchaguzi wa taifa kwanza, mengine baadaye for that standard Makamba is the man hapa, Unless I am missing something here!
William @ New York City, USA.