Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Shyrose -Bhanji(kushoto)akiwa katika Picha ya Pamoja na Katibu Mkuu Wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)Dr Wilbrod Slaa
FaizaFoxy kama alivyosema Sacona kua ni ukomavu wa kisiasa na si uadui lakini dada yangu wewe naona unataka kutupeleka kwenye mambo mengine kabisa au tukuchukulie kama jina lako la pili linavyo jionyesha hapo juu? Faiz......Foxy!!
FaizaFoxy kama alivyosema Sacona kua ni ukomavu wa kisiasa na si uadui lakini dada yangu wewe naona unataka kutupeleka kwenye mambo mengine kabisa au tukuchukulie kama jina lako la pili linavyo jionyesha hapo juu? Faiz......Foxy!!
Acha mawazo mgando wewe,siasa sio uadui bali ni utofauti wa muono wa namna nzuri ya kuwatumikia wananchi, watu wa vyama vyote wanaendelea kuwa ndugu bila kujali jinsia ya mtu
Faizaa naona unatamani kweli ingekuwa ni wewe,.. uwe unahudhuria bwana mikutano yake unaweza ukaambulia walau mkono kama sio kushika hata kipande cha nguo yake...ila uvae vizuri sio kininja au magamba si unaona mwenzio kayavua ndo akapiga hiyo picha
Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Shyrose -Bhanji(kushoto)akiwa katika Picha ya Pamoja na Katibu Mkuu Wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)Dr Wilbrod Slaa
cdm kunataharifa dk kafumaniwa na mke wa mtu tena,so wana cdm mliobaki msishabikie kama vpofu mfikiri pia yawezekana kanasa mtego koz nmesikia pia pichazake za fumanizi watu wausalama wanazo na alikua ikuli juzi akiomba chondechonde zisitolewe