Ramadhani chilumba
Member
- Jul 11, 2015
- 13
- 4
Kumekucha ss duh?
Unahisi nini muda huu ambapo wale walikuwa wanakutusi kwa matusi yote mpaka ya nguoni na kukushambulia kwa kila namna ndio wamegeuka kuwa wafuasi wako!?. Naamini kabisa kuna mahala umeteleza japokuwa kuwa na msimamo tofauti na wenzako si dhambi.Yericko,
Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.
sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.
Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.
Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.
Atamlipa kwa usaliti wake.Kwa kweli Dr Slaa ni mtu wa pekee sana hapa duniani. Mungu atakulipa dr.
Mahakama ndio chombo cha kutoa haki na kumtambua huyu ni fisadi na huyu si fisadi
mmempeleka mahakama gani kudhibitisha tuhuma zenu hizo?
acheni chuki binafsi.
acha aende tu kokote kule maana cc adui yetu ni ccm wala cyo mtu mmoja mmoja acha aende na umaarufu wake kwisha huwezi mlazimisha nae atakuwa alitaka urais tu huu ndo ibinasfi ambao hatutaki huwezi kaa na wenzio mkakibaliana tunamtakia kila la heri huko aendako
Tukikuomba ushaidi utatupa? Wakumdhuru mtu
Ahsante Mkuu. Kuna wapuuzi siku zote huwa wananitukana bila sababu. WanaIdi kuumbukaLizaboni huwa anaongea facts!!!
Makubwa madogo yana nafuu. Ngoma inogile mwaka uu kaaaaaaazi kweeeeli kweeeeli
Dr Slaa na Mnyika si wajinga...... kama CDM watashindwa kusawazisha haya tutegemee kushindwa vibaya uchaguzi hadi ngazi ya ubunge......
Sitaki kuamini kwa namna yoyote Ile kuwa Dr Slaa aliyepigania mabadiliko na mageuzi miaka 20 leo anaweza kuwavunja moyo wapiganaji wenzake hata kama wameshindwa kuelewana kwenye masuala kadhaa. Wanaomshauri kastaafu Siasa ni wale wenye malengo ya kumwangamiza kabisa na kumtumia kama daraja la wao kupita katika kipindi hiki kigumu kwao, Namshauri Dr Slaa asikubali kabisa kuwa daraja la utawala wa ccm kwa gharama yoyote Ile. Watanzania tutakukumbuka daima kama utafanya uamuzi wa kujali maslahi ya taifa na CHADEMA.
Dr Slaa amekwazwa akakwazika. Ufisadi ni mbaya sana. Maskini Padre wa watu. Heshima aliyokuwanayo imeporomoka porooooooooKumbukeni Dr Slaa ndiye kakipigania chadema miaka mingi kwa shida na raha leo mnamdharau ghafla!! Mungu atawahukumu.
Bora ya fisadi kuliko mzinifu ambayo kwenye amri kumi za Mungu imetajwa moja kwa mojaSlaa kilichomuuma ni yeye kukatazwa kuchukua fomu. Alitaka washindane na Lowassa kidemokrasia. Sasa hivi wanahangaika kumpoza na ahadi.
kiujumla dr. slaa amewaangusha sana wapenda mabadiliko kwa hatua yake hii. ccm iondoke kwanza. mengine baadae...
Nenda kakae nae akusalie pambaf zenuDr Slaa amekwazwa akakwazika. Ufisadi ni mbaya sana. Maskini Padre wa watu. Heshima aliyokuwanayo imeporomoka poroooooooo