Dr Slaa: Tupo Makini kuliko CCM, Usalama wa Taifa....

Dr Slaa: Tupo Makini kuliko CCM, Usalama wa Taifa....

Mkuu Lukolo huwa nasikia kichefuchefu kusikia neno "usalama wa Taifa" hakuna kitu kama hicho nchini mwetu vinginevyo haya madudu yaliyokithiri kila siku yasingekuwepo, upo usalama wa mafisadi.
BAK you said it mkuu. Hii idara naona aliondoka nayo Nyerere. Waliobaki baada ya hapo ni wachumia tumbo na wala rushwa wakubwa ambao wanatumia majina ya usalama wa taifa ili kujineemesha na kuwaneemesha mafisadi badala ya kulisaidia taifa. Sasa hivi idara hii wanajiajiri kwa upendeleo na kwa kujuana. As a result, idara imejaa vilaza tupu, wasioweza hata kureason out. Watu walioapa kuifia nchi, wanakuwa tayari kuvutwa na kusukumwa na upepo wa fedha za mafisadi? Naichukia sana hii idara.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi hawa watu ni kigezo gani kinawafanya wapatikane! Shule? Kabila au dini! Mbona wanatumika tu kama wamepewa kazi kwa upendeleo fulani na hawataki kumuudhi aliyewaweka mjini? Hawajawahi tumia weledi kwenye kazi yao zaidi ya kutumika hata siku moja! Nchi za wenzetu ni watu wanaoheshimika lakini hapa kwetu ni vituko tupu! Wanachojua wao ni kukimbizana na vi-kina dada poa huko mitaani tu kwa pesa wanayopewa isiyo na kazi. Aibu!
Zamani, kati ya idara ngumu sana kuingia ilikuwa ni pamoja na usalama wa taifa maana watu waliingia kutokana na uwezo wa tangu shule ya msingi. Wakati huo walimu wa shule za msingi walikuwa ni maagent wa usalama wa taifa, kwahiyo walikuwa katika kila mwaka wanarecommend at least mwanafunzi mmoja kuingia usalama wa taifa, kati ya wanaomaliza darasa la saba. Na kulikuwa kunaainishwa vigezo vingi sana. Mtu anayepata recommendation hizi alikuwa anajengewa mazingira ya kuendelea na masomo ya sekondary ambako na kwenye alipata watu wa kumchunguza na kuandikiwa recommendations. Utaratibu huu ulilisaidia sana taifa kupata watu makini wa kuingia katika idara hii.

Lakini siku za hivi karibuni, usalama wa taifa unakwenda kwa kujuana. Wazazi wanawapa nafasi watoto wao, au wajomba zao au hata watoto wa rafiki zao. Ukishakuwa na mtu ndani ya idara ya usalama wa taifa akakurecommend tu, basi ushapata nafasi. As a results watu walioshindwa shule na kukosa nafasi mahali pengine, ndiyo hao ambao wazazi wao wamekuwa wakiwatafutia nafasi kwenye idara hii. Idara imepoteza kabisa maana na mwelekeo. Hivi sasa hii idara ni mali ya watu fulani.

Mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa wanaingiza watu wao huko. Matokeo yake, wakifika huo wanashindwa kufanya kazi, badala yake wanabaki kulamba miguu ya waliowaingiza huko. Kwa sasa hatuna usalama wa taifa, bali tuna usalama wa wezi. Usalama wa taifa wanawasaidia mafisaidi kuficha hela? Kuiba wanyama hai? Kusaini mikataba ya kuikandamiza nchi?
 
Hongereni kwa umakini ila tafadhali msitumie umakini wenu kung'oa macho ya waandishi wa habari, kuuwa watoto wa masikini na kumwagia tindikali wapinzani wenu. Msitumie umakini wenu kuwawekea unga '' mwekundu'' wapinzani wenu katika chama.

CC Ben Saanane Zitto

sidhani kama unachochangia unakifahamu au ndio hivyo mtu akishakuwa na magamba nakuwa na akili za namna hiyo?
 
ccm siyo chama kuunga mkono kwa sababu ya kupenda kuwang'ong'a wananchi na kuamini kwamba hawana akili! Kwa kizazi hiki wamekosea hata wakipata zero ya kidato cha nne bado ubongo unafanya kaz kuliko wanavyodhani mafisadi wa ccm
 
Hivi hawa watu ni kigezo gani kinawafanya wapatikane! Shule? Kabila au dini! Mbona wanatumika tu kama wamepewa kazi kwa upendeleo fulani na hawataki kumuudhi aliyewaweka mjini? Hawajawahi tumia weledi kwenye kazi yao zaidi ya kutumika hata siku moja! Nchi za wenzetu ni watu wanaoheshimika lakini hapa kwetu ni vituko tupu! Wanachojua wao ni kukimbizana na vi-kina dada poa huko mitaani tu kwa pesa wanayopewa isiyo na kazi. Aibu!

wengine wao ni wahehe na wanyaramba; shule darasa la saba; uwe mnazi wa ccccccccm; ukiisaliti unauwawa
 
Mkuu Lukolo huwa nasikia kichefuchefu kusikia neno "usalama wa Taifa" hakuna kitu kama hicho nchini mwetu vinginevyo haya madudu yaliyokithiri kila siku yasingekuwepo, upo usalama wa mafisadi.

Mkuu hujakosea kuita usalama wa mafisadi maana kwa kitendo hata cha kutengua ripoti ya cia na kudizaini mtu wao ili kufunika kikombe mwanaharamu apite
 
Last edited by a moderator:
Mbwa hawezi mbwekea bosi wake( a dog can not bark to its owner )
 
Ukikutana naye muulize Ben Saanane ana kazi gani CHADEMA! Na anawezaje kutunishiana msuli na ZITTO Kabwe ambaye ni ''mwanasiasa Makini na mwenye Vision kuliko Mbowe''- Msacky

Kumbe ww ndiye msacky!!! Kwanini unataka kuangamiza chama chetu jamani???
 
Speech za visingizio kwa kundi fulani au idara fulani haziitajiki kwa sasa kinachoitajika ni namna gani iliyo bora ya kukijenga

chama chenu na ikiwezekana kuwatumia hao mnaowatuhumu ili muweze kushika dora vinginevyo jamii itawaona ni

watu ambao hamna jipya juu ya kile mnachokiita ukombozi wao.


Binafsi sina hakika na madai anayoyatoa Katibu na kuna wakati nahisi labda na yeye ni mmojawapo ya hao

anaowatuhumu,hivyo kuwatuhumu ni sehemu mojawapo ya kujificha kwake kwa wenzake ili awatawale kifikra kwa maslai

yake binafsi.Kwa kuwa haiwezekani kwake yeye kila kukicha ni shutuma juu ya chombo nyeti kama kile na mbaya zaidi

kukishutumu kisiasa ilihali chombo kile si chama cha siasa.

Tufike mahala tusichanganye kazi za siasa na idara nyeti za taifa na ikiwezekana kusiwepo na idara kama hizo kwenye

vyama vya siasa kwa kuwa kufanya hivyo ni kukifanya chama kijitegemee chenyewe kiulinzi na inapotokea kimeshindwa

lawama upewe idara nyeti za taifa ambazo zilitupiliwa mbali zikizaniwa ni wakala wa chama tawala.

Sote kwa pamoja tuendelee kuziamini kwa dhati kubwa idara hizi kwa maslai ya taifa na kwa kuanzia ni wajibu wa kila mmoja wetu awe ni mlinzi wa amani ya nchi yetu na ikiwezekana katika watu kumi,nane wawe ni walinzi wa amani ya nchi.
 
Zamani, kati ya idara ngumu sana kuingia ilikuwa ni pamoja na usalama wa taifa maana watu waliingia kutokana na uwezo wa tangu shule ya msingi. Wakati huo walimu wa shule za msingi walikuwa ni maagent wa usalama wa taifa, kwahiyo walikuwa katika kila mwaka wanarecommend at least mwanafunzi mmoja kuingia usalama wa taifa, kati ya wanaomaliza darasa la saba. Na kulikuwa kunaainishwa vigezo vingi sana. Mtu anayepata recommendation hizi alikuwa anajengewa mazingira ya kuendelea na masomo ya sekondary ambako na kwenye alipata watu wa kumchunguza na kuandikiwa recommendations. Utaratibu huu ulilisaidia sana taifa kupata watu makini wa kuingia katika idara hii.

Lakini siku za hivi karibuni, usalama wa taifa unakwenda kwa kujuana. Wazazi wanawapa nafasi watoto wao, au wajomba zao au hata watoto wa rafiki zao. Ukishakuwa na mtu ndani ya idara ya usalama wa taifa akakurecommend tu, basi ushapata nafasi. As a results watu walioshindwa shule na kukosa nafasi mahali pengine, ndiyo hao ambao wazazi wao wamekuwa wakiwatafutia nafasi kwenye idara hii. Idara imepoteza kabisa maana na mwelekeo. Hivi sasa hii idara ni mali ya watu fulani.

Mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa wanaingiza watu wao huko. Matokeo yake, wakifika huo wanashindwa kufanya kazi, badala yake wanabaki kulamba miguu ya waliowaingiza huko. Kwa sasa hatuna usalama wa taifa, bali tuna usalama wa wezi. Usalama wa taifa wanawasaidia mafisaidi kuficha hela? Kuiba wanyama hai? Kusaini mikataba ya kuikandamiza nchi?

Yaan CHADEMA kila mtu ni mtaalamu wa mambo ya usalama wa taifa, kuanzia mwenyekiti hadi wapiga debe. Ndio maana kwa ujuaji huu nusu ya usalama wa taifa wanaripoti kwa Slaa lakini mtoto mdogo tu Ludovick anaweza ku infiltrate ndani kabisa ya chama na kuaminiwa kupewa jukumu la ulinzi binafsi wa katibu mkuu.
 
Yaan CHADEMA kila mtu ni mtaalamu wa mambo ya usalama wa taifa, kuanzia mwenyekiti hadi wapiga debe. Ndio maana kwa ujuaji huu nusu ya usalama wa taifa wanaripoti kwa Slaa lakini mtoto mdogo tu Ludovick anaweza ku infiltrate ndani kabisa ya chama na kuaminiwa kupewa jukumu la ulinzi binafsi wa katibu mkuu.
Haya makosa daima huwa yapo. Hata Marekani ilimtrain Osama Bin Laden na mwisho wa siku akaja kuigharimu nchi mamilioni ya pesa na maisha ya watu. Hiyo ni kawaida sana.
 
yaan chadema kila mtu ni mtaalamu wa mambo ya usalama wa taifa, kuanzia mwenyekiti hadi wapiga debe. Ndio maana kwa ujuaji huu nusu ya usalama wa taifa wanaripoti kwa slaa lakini mtoto mdogo tu ludovick anaweza ku infiltrate ndani kabisa ya chama na kuaminiwa kupewa jukumu la ulinzi binafsi wa katibu mkuu.

ludovic does not deserve to be called an infiltrator but rather a traitor!
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa amesema kuwa uchochezi unaofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yao umewapa mori na ari ya kwenda kuchukua dola mwaka 2015.


Alisema fitna zinazofanywa na Serikali ya CCM dhidi ya CHADEMA zinatokana na ujumbe mzito kutoka kwa wananchi, hasa katika uitikiaji wa matukio mbalimbali.

Dk. Slaa alitoa kauli jijini Dar es Salaam wakati wa kumkaribisha Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kufungua kikao cha Kamati ya Uzinduzi wa Kanda ya Pwani .

“Tunafurahi sasa hivi wanapotuchokoza kwa uendawazimu wao, propaganda na porojo zao, sisi tunakwenda mbele kuchukua dola. Hiki ndicho kichocheo kikubwa cha kutupa mori na ari.

“ Lakini tuko imara kuliko Serikali ya CCM, tuko imara kuliko hata Usalama wa Taifa na tuko imara kuliko hata CCM yenyewe,” alisisitiza.

Dk. Slaa aliongeza kuwa umakini huo ndio utawapeleka Ikulu na si kutegemea nguvu ya vyombo vya dola kama CCM wanavyotaka.

Mimi ninachojiuliza;
Hivi ni kweli CHADEMA wako makini kiasi hicho! Kama ndivyo; karibuni kuna wafitini watatafuta pa kujificha wasipaone!


 
mzee slaa bwana anambwembwe ndoa yenyewe imempa shida hadi kesho hajaifunga ije kuwa ikuru, pole mzee slaa hu wakati si wako bali ni kipindi cha vijaa siyo wazee tena.
 
Video ya lwakatare ni bonafide true and real...nyie rukeni rukeniiiiii mambo yote mahakamani
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa amesema kuwa uchochezi unaofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yao umewapa mori na ari ya kwenda kuchukua dola mwaka 2015.


Alisema fitna zinazofanywa na Serikali ya CCM dhidi ya CHADEMA zinatokana na ujumbe mzito kutoka kwa wananchi, hasa katika uitikiaji wa matukio mbalimbali.

Dk. Slaa alitoa kauli jijini Dar es Salaam wakati wa kumkaribisha Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kufungua kikao cha Kamati ya Uzinduzi wa Kanda ya Pwani .

"Tunafurahi sasa hivi wanapotuchokoza kwa uendawazimu wao, propaganda na porojo zao, sisi tunakwenda mbele kuchukua dola. Hiki ndicho kichocheo kikubwa cha kutupa mori na ari.

" Lakini tuko imara kuliko Serikali ya CCM, tuko imara kuliko hata Usalama wa Taifa na tuko imara kuliko hata CCM yenyewe," alisisitiza.

Dk. Slaa aliongeza kuwa umakini huo ndio utawapeleka Ikulu na si kutegemea nguvu ya vyombo vya dola kama CCM wanavyotaka.

Mimi ninachojiuliza;
Hivi ni kweli CHADEMA wako makini kiasi hicho! Kama ndivyo; karibuni kuna wafitini watatafuta pa kujificha wasipaone!

????/ duh IMARA kuliko serikali ya CCM?? napata kigugumizi ila 2015 Tanzania itaamua manake CDM mnaelekea kukubalika. Imara kuliko usalama wa Taifa?.....Ludo kafanya kazi na mkurugenzi mkuu wa usalama Chadema????!!! na pia alikuwa mtu wa karibu wa DR. Slaa!! Kweli mko makini?anyway time will tell... TUNAWASIKILIZIA!!
 
Mfa maji haachi kutapatapa...chadema sasa ina hali ngumu sana kisiasa...inaweweseka na imechanganyikiwa....
 
Back
Top Bottom