Dr Slaa: Tupo Makini kuliko CCM, Usalama wa Taifa....

Dr Slaa: Tupo Makini kuliko CCM, Usalama wa Taifa....

Mkuu Lukolo huwa nasikia kichefuchefu kusikia neno "usalama wa Taifa" hakuna kitu kama hicho nchini mwetu vinginevyo haya madudu yaliyokithiri kila siku yasingekuwepo, upo usalama wa mafisadi.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Lukolo unganisha kipande kinachoendelea hapo!
 
Last edited by a moderator:
Well done Doctor.
Bravo and long live CHADEMA.

It is now obviously that CCM has LOST CONTROL of ruling this country.

To hell with CCM!
 
Hongereni kwa umakini ila tafadhali msitumie umakini wenu kung'oa macho ya waandishi wa habari, kuuwa watoto wa masikini na kumwagia tindikali wapinzani wenu. Msitumie umakini wenu kuwawekea unga '' mwekundu'' wapinzani wenu katika chama.

CC Ben Saanane Zitto
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lukolo huwa nasikia kichefuchefu kusikia neno "usalama wa Taifa" hakuna kitu kama hicho nchini mwetu vinginevyo haya madudu yaliyokithiri kila siku yasingekuwepo, upo usalama wa mafisadi.

Hivi hawa watu ni kigezo gani kinawafanya wapatikane! Shule? Kabila au dini! Mbona wanatumika tu kama wamepewa kazi kwa upendeleo fulani na hawataki kumuudhi aliyewaweka mjini? Hawajawahi tumia weledi kwenye kazi yao zaidi ya kutumika hata siku moja! Nchi za wenzetu ni watu wanaoheshimika lakini hapa kwetu ni vituko tupu! Wanachojua wao ni kukimbizana na vi-kina dada poa huko mitaani tu kwa pesa wanayopewa isiyo na kazi. Aibu!
 
Last edited by a moderator:
Hongera DR. SLAA you know how to talk and that's why they afraid of you
 
Ah! Dr Slaa akiongea bwana ...kanifurahisha anaposema vikwazo vinavyowenkwa na wana CCM kwa upumbavu wao, vinawaongezea ari na kasi ya kuindoa serikali ya CCM madarakani na hatimae Chaema kutinga Ikulu...
 
Ikulu ni mahali patakatifu kama huyo mzee anapataka, Mwambieni aoe kwanza ndio aendee !

Tausi tu wapo Ikulu kwanini anapanga'ang'ania..
 
Mkuu Lukolo huwa nasikia kichefuchefu kusikia neno "usalama wa Taifa" hakuna kitu kama hicho nchini mwetu vinginevyo haya madudu yaliyokithiri kila siku yasingekuwepo, upo usalama wa mafisadi.

Toka mkulu aingia na gia ya kuingiza watu wake mambo yameharibika! Vilaza kibao wamejazwa mle kwa vigezo vingine nje ya uwezo binafsi
 
Last edited by a moderator:
Dah!! Haka ka simu kangu ka kichina noma sana!! Yaani nimeshindwa hata kumuona Dr!!!??

Jamani msaada japo kwa muhitasari alichokiongea Dr.
 
Hongereni kwa umakini ila tafadhali msitumie umakini wenu kung'oa macho ya waandishi wa habari, kuuwa watoto wa masikini na kumwagia tindikali wapinzani wenu. Msitumie umakini wenu kuwawekea unga '' mwekundu'' wapinzani wenu katika chama.

CC Ben Saanane Zitto
Sio lazima uchangie kila post inayomhusu Dr Slaa. Anyway, kwavile umepiga overtime this Saturday, nenda tu kachukue posho yako Lumumba.
 
BRAVO CHADEMA,
Mojawapo ya sifa ya uongozi bora ni kutatua matatizo yanayoonekana kana kwamba hayana mlango wa kutokea.

Hata wao ccm wanajifunza mengi juu ya matukio wanayotuletea CHADEMA na namna tunavyoyatatua.
Kwa tatizo hili la Lwakatare na jinsi litakavyotatuliwa, itakuwa ni uthibitisho mwingine mbele ya jamii kwamba CHADEMA inao uwezo wa kushika uskani wa Taifa hili na kukabili matukio na kuyatatua.........

Hiki ni kipimo bora cha kuwaonyesha wananchi uwezo CHADEMA ilio nao wa kung'amua mambo ya sirini na kuyadhibiti na nchi ikawa salama.

Huo upuuzi kina Wasira waliichezea NCCR-MAGEUZI sasa wanataka ku-paste kwa CDM


 
Hongereni kwa umakini ila tafadhali msitumie umakini wenu kung'oa macho ya waandishi wa habari, kuuwa watoto wa masikini na kumwagia tindikali wapinzani wenu. Msitumie umakini wenu kuwawekea unga '' mwekundu'' wapinzani wenu katika chama.

CC Ben Saanane Zitto

Hapa ndo utajua umbulula wa CCM... Ukiambiwa uhakikishe maneno yako utabaki kutema pumba tu...

AKILI KAMA ZA MWIGULU NCHEMBA
 
Last edited by a moderator:
Ukikutana naye muulize Ben Saanane ana kazi gani CHADEMA! Na anawezaje kutunishiana msuli na ZITTO Kabwe ambaye ni ''mwanasiasa Makini na mwenye Vision kuliko Mbowe''- Msacky
 
Back
Top Bottom