Dr.Slaa: TBC ni adui wa Mabadiliko

Dr.Slaa: TBC ni adui wa Mabadiliko

Slaa ni mwehu, anazeeka vibaya. Tbc walitoa tamko kwamba hali ya hewa ya mvua ndio iliyosababisha mitambo kukatika yy analeta chuki zake apa, aanzishe tv yake basi
 
Wenye akili wametambua ukiritimba wa TBCCM ila vichaa kama hawa LB7 they will never allow their brains to understand issue. Nasikia tena waliokata Mawasiliano ya tbccm ni TISS.
 
Wenye akili wametambua ukiritimba wa TBCCM ila vichaa kama hawa LB7 they will never allow their brains to understand issue. Nasikia tena waliokata Mawasiliano ya tbccm ni TISS.
Ukiwa na akili mgando af unatumia kichwa kufuagia nywele pekee ndio utaandika km ulivyoandika
 
Kauli kama hii labda inaweza kumfaa yule mkuu wa nchi ambaye aliwahi kutamka hadharani, wananchi wake wakimsikia na dunia ikimsikiliza kwamba hajui kwa nini wananchi wake na nchi yake ni maskini. Mtu wa namna hii ndiyo hawajui wanachokifanya na bila shaka wataacha 'majina' tu...
Wewe ni msukule tu huna jipya, akina slaa na hawara yake josephine wanapiga hela na kwenda kutumbua maisha huko wee unatumika kizembe tu hapa.....ndio mana chopa 3 kata 3
 
Slaa ni mwehu, anazeeka vibaya. Tbc walitoa tamko kwamba hali ya hewa ya mvua ndio iliyosababisha mitambo kukatika yy analeta chuki zake apa, aanzishe tv yake basi

Unalishwa kinyesi unakubali km zuzu kwan hiyo hali ya hewa kuwa mbaya inasubiri tu mda wapinzan wakianza kuongea ndio mitambo ianze kusumbua? acha kutufanya watanzania hatunazo.
 
Hiyo ni hoja dhaifu sana wanaoangalia mjadala huu wa bunge la Katiba siyo CDM peke yao, wapo watu wengi wanaotaka kujua juuu ya mijadala inayoendelea. Tunapaswa kupata hoja za watu wote hata kama tunatofautiana nao, TBC wanachofanya ni upuuzi ambao tukipata Katiba mbovu itawaathiri wao na hata watoto wao. TBC iachie wajumbe washindane kwa hoja siyo kwa mbinu chafu.

Mtu mwenye msimamo thabiti huwa habadiriki hata siku moja! Mnausia moja kwa moja tu, Mlivyo acha mbona mlitangaza? Mnapoanza kuangalia tangazeni pia.
 
Bavicha kwa matusi hamjambo

Usiwanyooshee wenzio vidole wakati hata wewe michango yako ni aina hiyo hiyo,kwa hiyo na wewe unaakili hizo?Ukiacha kutukana hautatukanwa kuwa mtu mzima.
 
Back
Top Bottom