Dr Slaa sasa ni Mzalendo


Wacha projo onesha ni wapi daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa alipopambwa?
 
Last edited by a moderator:

Mtasubiri sana haitakaa itokee Dr Slaa anajua alikotoka kisiasa.
 
Wala sina shaka na Dr. Slaa the next PM
 
"Maisha bila unafki hayaendi"
 
MAHANJU

Ila ukitizama vizuri nyote mpo sawa make hata wanaomsifu lowasa leo ni wale walimuita majina yaleyale ya ufisadi,upapa,mpaka kumuita mgonjwa n.k,kwa hyo nyote mkubali hakuna adui wa kudum kwenye siasa,samahan lakin mkuu
 
Last edited by a moderator:
Dr.slaa ndiye my role mode,,,ktk uongoz uliotukuka,usiondoke my brother Dr.slaa tumwondoe mkoloni mweus
 
Last edited by a moderator:
Kweli Lowasa kawachanganya wapenda madaraka kiasi cha kufikiri Dr.Slaa anaweza kurubuniwa kwa sifa za kijinga toka upande wa pili. Inabidi waelewe kuwa Dr.ndiye aliyeongoza mradi wa kumleta El Cdm.
 
Tundu lisu jana akihojiwa Bbc alisema slaa ndo alifanikisha ujio wa lowasa aliratibu kila kitu hizi speculation zntoka lumumba buk 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…