hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
akili yako na mleta mada zinafananaUnalinganisha Rais kivuli wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katibu wa chama na Kikwete kama mwenyekiti wa chama tunawalinganisha ili kujua kama leo zingepigwa kura kwa upya nanai angeibuka kidedea mara kadhaa umesikia umaarufu wa fulani wapungua au umeongezeka. Lengo ni kupima utendaji wa rais na Rais mtarajiwa.
mwingine ni (dr) wa kusomea darasan mwingine (dr) wa chee watoto wa mjin wanasema ushind wa mezanihii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?
Erred reasoning with incomplete investigation.
Erred reasoning with incomplete investigation.
Kuna ubaya gani? Public opinion is just that, lakini inasaidia kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa raia.Unalinganisha Rais kivuli wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
This is for the sake of public opinion kaka, wachambuzi wa siasa hufanya hivi mara kadhaa kuangalia public opinion on person's political charisma, influence and prominence. Walio wahi linganishwa kama hivi ni Obama Vs Bush, Clinton Vs Bush,John Kerry Vs Bush, Mitt Romney Vs Obama. Hope umeelewa maana yake.HOW????....Kumbuka unawalinganisha watu binafsi katika kukubalika (kitabirio cha kupigiwa kura) mmoja hatogombea tena(JK) na mwingine labda atagombea....sasa matokeo ya kura yako ya maoni yatasaidia nini?????.....
Kuna ubaya gani? Public opinion is just that, lakini inasaidia kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa raia.
Hapa Marekani rais wa zamani Bush ana approval rating chini ya 30% na ndiyo maana haonekani sana hadharani, wakati rais wa zamani Bill Clinton ana approval rating ya 69%. Obama sasa hivi ndipo kafikia 50% na kuna uwezekano mkubwa atashinda mwezi Novemba. Kwa hiyo kuonyesha approval rating ya Kikwete, miaka miwili baaada ya uchaguzi wa 2010 ni kuonyesha mwelekeo wa maoni na mtazamo wa Watanzania.
This is for the sake of public opinion kaka, wachambuzi wa siasa hufanya hivi mara kadhaa kuangalia public opinion on person's political charisma, influence and prominence. Walio wahi linganishwa kama hivi ni Obama Vs Bush, Clinton Vs Bush,John Kerry Vs Bush, Mitt Romney Vs Obama. Hope umeelewa maana yake.
Slaa huwezi kumweka kundi moja na Jk labda useme Slaa na komba.
The things that connects these two is politics and leadership. Both Slaa na JK ni viongozi wa umma. Public inawasikiliza sana. Na majukumu, matamshi, na muelekeo wao una-impact kwa public... Matokeo; JK CCM Manifesto, Slaa M4C.Lakini si rahisi kumlinganisha mtu binafsi ambaye majukumu yake yanatoa matokeo yanayoonekana kwa urahisi kwa umma (JK) na yule ambaye majukumu yake si rahisi kuona matokeo yake kwa umma(WS)...sijui unalionaje hili??
Nadhani nani zaidi kwa kukubalika kwenye jamii kama kiongozi thabiti au na hilo nalo uelewe?utakuwa na lako hapo.hii mada nadhani haitatusaidia.....mmoja ni raisi na mwingine ni katibu mkuu wa chama.....sasa sijui tuwalinganishe kwa lipi? kama ni kugombea nafasi ya urais 2015 Jk hatogombea.....kama ni uchaguzi uliopita majibu tunayajua wote....labda utujuze zaidi anakubalika kwa lipi.....ucheshi wake?...urefu?....ukarimu.....nk
Bro Jasusi,
Umeeleza vizuri kuu approval rating lakini umechanganya Dr Slaa hajawahi kuwa rais labda ungefanya approval rating kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete.
ushabiki umetuziba macho...hatuoni.....hatujui tunapokwenda.......hatujui wakati.........
Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?