lupasulwisye
Senior Member
- Sep 5, 2012
- 104
- 21
Atafutwe mtu mwingine wa kumlinganisha na Dr Slaa na siyo Kikwete.Kikwete yupo very bottom wakati Dr Slaa yupo very top.
Kikwete hawezi kuipenda hii thread,kwake ni kama kejeli.Wadau wa hapa jamvini naomba tupige kura ya maoni ili kujua hawa watu wawili nani anakubalika sana mpaka leo hii?