Dr. Slaa na Kasulumbai Waunguruma Igunga

Leo ndio amewakumbuka wanaigunga? Alikuwa wapi siku zote hizi? Igunga hawapati kitu. Ngoja kina Bashe watue hapo ndio kitaeleweka.

.
Hivi Bashe ni nani vile? Hili jina ni kama nimewahi kulisikia vile, ila sikumbuki wapi.
.
 
.
Hivi Bashe ni nani vile? Hili jina ni kama nimewahi kulisikia vile, ila sikumbuki wapi.
.
Ni yule msomali jamii moja na lile vuvuzela la simba.....yote dugu moja!!!Alshabab.
 
Ama kweli kitokacho mtu chake hakimtapishi,leo CCM mna mzungumzia Bashe ilihalimlimnanga kuwa siyo raia!Kumbe mtu wakati mwingine hula matapishi yake.



Leo ndio amewakumbuka wanaigunga? Alikuwa wapi siku zote hizi? Igunga hawapati kitu. Ngoja kina Bashe watue hapo ndio kitaeleweka.
 
Ila jamani CCM wanapandikiza ukabila kwa makada wao! Hali hii itatufikisha pabaya sana!!!
 
V hadi 2015 ccm itakuwa imebakia mifupa tu
 
kwa ujumla magamba wamenaswa kote kila wakijaribu kutokea popote wanaendelea kudidimia tu,cha msingi ni kwamba watuachie jimbo letu kwa maana waliingia kwa dhuluma,nadhani kwa hali ya sasa tunahitaji uongozi makini sio wa kiujanjaujanja na kidhuluma kama wanvyotaka magamba mungu ibariki tanzania.
 


Ukimpa mtu ugali wa siku moja atakusahau, ila ukimpa elimu ya kweli atakukumbuka. Hapa ni pale Igunga CCM ilipohonga hadi mwisho. Wananchi walikula walishasahau tena wana njaa kubwa kuliko ile. Slaa aliwapa elimu wanamkumbuka na wanaungana nae kuikomboa Tanzania.
Tuungane tupambane na mwizi hadi tumzike kabisaaaaaa! Huu ndiyo wakati wa ukombozi. Tanzania ya leo sii ile ya jana. Tuna uchungu sana na kodi zetu zinatafunwa na majuha wachache huku nchi ikiangamia kwa kukosa huduma bora za msingi. Wakenya walizika KANU na wametuacha mbali.
 
Leo ndio amewakumbuka wanaigunga? Alikuwa wapi siku zote hizi? Igunga hawapati kitu. Ngoja kina Bashe watue hapo ndio kitaeleweka.
Shh..! Angalia asije akakusikia mbunge wa Nzega, Mhe. Dr. Hamisi Andrea Kigwangalla, MD, MPH, MBA. Bashe, Kigwangalla, Bashe, Kigwangalla, Bashe, Kigwangalla...sijui nani zaidi? Hata hivyo mimi napendekeza atafutwe labda yule mbunge wa Igunga mstaafu...yawezekana yale majebere yaliyomwaga machozi siku anang'atuka bado yapo.
 
Watanzania wamechoka kucheka na nyani ( CCM ) na kuvuna mabua !
 
Kinachonifurahisha ni kuwa hao watu wote hapo mkutanoni hakuna hata mmoja aliyeletwa au aliyeahidiwa malipo bali wote wamekwenda wenyewe, na wote wamekwenda kupata habari njema ya UKOMBOZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…