Dr.Slaa na Freeman Mbowe nendeni mikoani mkaizime ACT

Dr.Slaa na Freeman Mbowe nendeni mikoani mkaizime ACT

Awadh Samuel Kiwelu

Senior Member
Joined
Oct 11, 2014
Posts
192
Reaction score
69
Wana JF.

Natoa wito kwa viongozi wetu wa CDM Katibu Mkuu Dr.Slaa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa pamoja waanze ziara kupita kote alikopita Zitto Kabwe wazimishe nguvu ya Zitto Kabwe. Na waweke kambi Kigoma wajenge chama.
 
huo ushauri una maanisha nini? hatutaki mambo ya kiccm. kila chama kiwe huru kufanya mikutano wananchi siku ya mwisho wataamua.
 
waliyataka wenyewe. Tuliwashauri humu wakatubeza. kiko wapi sasa.
 
Zitto ninayemjua mimi hawezi kuzmwa na hao unaowasema kwani wanamwogopa,hvyo mpaka amalze ndo waende. Kisiasa zitto ni baba wa hao ulowataja(Baba akikohoa,mtoto lazma utulie).
 
Chadema ikifuata ushauri huu wa kijinga nitashangaa sana, Chadema hapaswi kubadili adui muda huu, wao wapambane na CCM sio ACT, even kwny mikutano ya ACT haitajwi Chadema so nitashangaa sana wakiacha kupambana na Ccm wanaanza na ACT
 
Wana JF.

Natoa wito kwa viongozi wetu wa CDM Katibu Mkuu Dr.Slaa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa pamoja waanze ziara kupita kote alikopita Zitto Kabwe wazimishe nguvu ya Zitto Kabwe. Na waweke kambi Kigoma wajenge chama.

ACT ni sawa na marehemu
 
Awadh Samuel Kiwelu

Chadema kushughurika na act ni sawa kama vile yanga,simba na azam washindwe kupata ushindi kisa eti timu ya ndanda fc inafanya mazoezi makali.

ACT imefanya nini? watu wanaenda kuangalia mazingaombwe ya ---------.
 
Last edited by a moderator:
Awadh Samuel Kiwelu

Siyo wote wanaohudhuria msibani wanamachungu na marehemu, wengine wanakwenda kusanifu tu na kufurahia kimoyomoyo yanayotendeka pale msibani! Ndiyo sbb siku hizi misibani pamekuwa ni mahala pa kuoneshana mavazi(kwa wanawake) na kuoneshana simu kalikali! Watu hawaombolezi tena! Naomba kuishia hapa!
 
Last edited by a moderator:
Siyo wote wanaohudhuria msibani wanamachungu na marehemu, wengine wanakwenda kusanifu tu na kufurahia kimoyomoyo yanayotendeka pale msibani! Ndiyo sbb siku hizi misibani pamekuwa ni mahala pa kuoneshana mavazi(kwa wanawake) na kuoneshana simu kalikali! Watu hawaombolezi tena! Naomba kuishia hapa!
Kamanda kama wale watu walioenda leo Kawe kwenye mkutano wa Dr.Slaa.
 
Back
Top Bottom