Dr. Slaa & Mbowe, Right timing but wrong Strategy!!!!


Mi bwana ckuelewi hata kidogo, hata sina la kusema maana sijui pa kuanzia, kwa kifupi mimi nio mmoja wa wanaotaka mabadiliko, hao wasio na uchu wa madaraka wametawala nchi kwa miaka kibao na hali ndio hii, hakuna aliyesema kwamba cdm watamaliza matatizo, tuache na wengine wajaribu, hata chakula huwezi kila hichohicho kila asiku we need change, jibu zuri utalipata ukiangalia idadi ya wanaohudhuria mikutano ya cdm,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…