Pima mwenyewe
JF-Expert Member
- Nov 20, 2012
- 891
- 236
Ahsante Mungu kutupa wazee wenye busara ambao daima hawatetereki katika kusimamia maslahi mapana ya nchi. Uishi Dr. Slaa
Sisi chadema ndio wanafiki. Tulihubiri tangu mwaka 2008 kuwa lowasa na group lake ni majizi mafisadi ya kutupwa, pia tulitumia gazeti la Mwanahalisi la Kubenea. Mbona leo tunasema ni msafi kama theluji? ??Kingunge alikuwa mfuasi wa Lowassa tangu CCM.Hakuna jipya hapo.
Mrema anajulikana msimamo wake tangu bunge maalumu la katiba.Mrema ni mfuasi wa CCM.
Babu Slaa ni Mnafiki.July alisema akipata urais atamfunga Magufuli kwa sababu ya uuzaji wa nyumba za serikali.Leo anasema Magufuli ni safi.Huu ni usaliti na unafiki katika kiwango cha kimataifa.
Jamani nimemsikiliza Dr Slaa na nimepata tumbo la kuhara.
Siamini kama leo Dr Slaa anampigia debe Magufuli!
Ama kweli Dunia ni duara!
Dooooooooooooooooo. Hatari kubwa!
Ni pesa au nini jamani? Au ndio shemeji hatupendi tena? Hebu nijulisheni!
Dr. Slaa busara ilikuwa ni kukaa kimya kama ulivyoahidi maana hata tuliokuamini kwa miaka mingi tunaanza kuona unatumiwa.
Kajitikisa mwenyewe. Ameshazimwa na kingunge
huko sio KUTIKISA ni KUTIKISIKA.
Ahsante Mungu kutupa wazee wenye busara ambao daima hawatetereki katika kusimamia maslahi mapana ya nchi. Uishi Dr. Slaa
Dr anakosesha watu usingizi hakyanani
shida ni ileile ya watanzania kuonekana malofa hawana akili zao za kujiwezesha kutambua mchele na pumba.hivyo wao wanathani ndiyo wanazo akili za kuwainject watz.lakini la pili ni pesa,slaa atakuwa amepata pesa na siyo bure lakini la pili ni ubinafsi wa yeye kufikiri angekuwa ndiye anayefaa kuwa raisi wa Tanzania.la tatu anaweza kuwa ni mnafiki.hana kipya cha kunieleza maana kama ni maendeleo alishatueleza ccm haiwezi kuleta tena maendeleo hata angekuja kiongozi malaika.
Baada ya kutikiswa na Josephine nae ndo kaamua kutikisa...
Ni lowasa tu ni UKAWA tu
Huyu mzee ni mkweli,tatizo watanzania wengi wanataja kufanya maamuzi ya hasira na mwishowe kujuta,