johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Balozi Mstaafu Dr Slaa amesema Hayati Magufuli alidanganywa na Mawaziri wake kwamba Marekani uchaguzi ukiisha Siasa zinahamia bungeni siyo mitaani
Dr Slaa amesema aliwahoji Mawaziri hao ambao ni Wanasheria nguli na Wakakiri kumpotosha Rais ila wanaogopa kwenda kumrekebisha
Source: Nipashe
Dr Slaa amesema aliwahoji Mawaziri hao ambao ni Wanasheria nguli na Wakakiri kumpotosha Rais ila wanaogopa kwenda kumrekebisha
Source: Nipashe