hoja za dr Slaa haziwezi kujibiwa na mizigo,hata ukoo wote wa panya ukikusanyana hapo Dom hauwezi kuzijibu,sanasana utaibuka na mipasho tu ili kumuenzi mkuu wa magamba!
Haswaa, kuna dada mmoja mzanzibar aliropoka sanaaa nadhani yule ndiye HAMY-D akili zao hata kwa kukaza na spana bado haziwezi kuwaza kama binadamu wa kawaida
basi na mimi naomba nikusifie mtoto mtamu,sauti kama Fetty,ziwa konzi kama Isha Mashauzi,tumbo kama Lulu,mkia kama Snura,mwanya kama Aminata Keita,urefu kama Magese.ila punguza papara kama Sepetu,uma make mane kama JD