Dr. Slaa kumnadi Magufuli Jumatano


Dr Slaa si ni Padre, aliwahi kusema akiwa Rais atamburuza Magufuli mahakamani kwa kuuza nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa, je leo hizo nyumba zimerudishwa? Au Padre alitudanganya? Nape alikua akimdhihaki Dr Slaa kwa kumuita babu kafilisika, je leo ni Kijana Mkakamavu?
Naona ni siasa majitaka tu zikishika kasi kwa sasa Tanzania
 
Amedataaa huyu mzee. Naona hayupo sawa kichwani. Amedhihirisha kuwa hakuna siasa Tanzania. Wote ni Ccm tuu na wengi kama slaa ambao kujitoa kwenye Chama kunawafanya washindwe kuishi. Uishia kutangatanga kama naniii
 
Madhara ya kuoa ukubwani ni hatari sana. Asipoenda ataiona kwenye pichu imetuna tu!!! Aaaahh Jose wewe ni balaa.
 
 
Slaa atawafilisi tu CCM.
Hana udhawishi tena.Siasa zake za kunanga watu hazina tija.
Watu wanataka umeme na maji.Sio mipasho.
 

Mbona alishasema hatojihusisha na siasa?
 
Tunafukua makaburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…