Dr. Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM

Dr. Slaa kugombea Karatu kwa tiket ya CCM

Attachments

  • 1439575073897.jpg
    1439575073897.jpg
    40.4 KB · Views: 274
Kwani CCM, haijamtaja mgombea ubunge wa Karatu, aundo wamemtaja Dr. Slaa?
 
its written dr. wilbard slaa lorri... jimbo la
karatu so do know kama ni yy au mwingine
 
Umebug Men,. Unafikiri Slaa Ana Mawazo Finyu Kama Yako,. Wakati Anategemea Kuwa 'Waziri Wa Mambo Ya Ndani Na Ushirikiano Wa Kimataifa.' Aende CCM Ajimalize We Vipi.
 
NI KWELI HUYO MGOMBEA WA UBUNGE KARATU KWA TIKETI YA CCM ANAITWA DR WILBAD SLAA LORI sio DR WILBROAD SLAA WA CHADEMA WANAFANANA MAJINA

Yeye ni Dr Wilbard Lori ni Mshauri wa Mheshimiwa Rais katika masuala ya Chakula na Lishe. Huyu mwana CCM ameamua kujitambulisha kama Dr Wilbard Slaa Lori na lengo lake la kufanya hivyo haliko wazi, ila nahisi ni branding kutumia jina SLAA. Wasomaji inabidi tutofautishe kati ya Dr Wilbard Slaa Lori (CCM) na Dr Wilbord Slaa (CHADEMA). CCM walimteua huyuhuyu mwaka 2010 lakini wananchi wakamkataa wakachagua mgombea wa Chadema. Nadhani CCM wanamteua makusudi ili kuwachanganya wananchi wa Karatu siku ya uchaguzi.


Rejea: https://www.jamiiforums.com/uchaguz...le-ya-dr-wilbard-slaa-wa-jimbo-la-karatu.html
 

Yeye ni Dr Wilbard Lori ni Mshauri wa Mheshimiwa Rais katika masuala ya Chakula na Lishe. Huyu mwana CCM ameamua kujitambulisha kama Dr Wilbard Slaa Lori na lengo lake la kufanya hivyo haliko wazi, ila nahisi ni branding kutumia jina SLAA. Wasomaji inabidi tutofautishe kati ya Dr Wilbard Slaa Lori (CCM) na Dr Wilbord Slaa (CHADEMA). CCM walimteua huyuhuyu mwaka 2010 lakini wananchi wakamkataa wakachagua mgombea wa Chadema. Nadhani CCM wanamteua makusudi ili kuwachanganya wananchi wa Karatu siku ya uchaguzi.


Rejea: https://www.jamiiforums.com/uchaguz...le-ya-dr-wilbard-slaa-wa-jimbo-la-karatu.html
Hivi we mama unataka tuamini dunia nzima mwenye jina la SLAA ni huyo kasisi tu akitokea mwingine ni muongo na anataka ujiko.
 
Hivi we mama unataka tuamini dunia nzima mwenye jina la SLAA ni huyo kasisi tu akitokea mwingine ni muongo na anataka ujiko.

Kabombe, ndugu hujanielewa!!! Kajipange vizuri usome nilichoandika na uulize na watu wengine utakuja kugundua kuwa huyu baba amekuwa anatumia jina la Wilbard Lori kwa miaka kadhaa na hili la Wilibard Slaa Lori kaibuka nalo karibuni tu kuanzia mwaka 2010. Uwe na amani
 
Back
Top Bottom