Dr. Slaa: Hakuna Uoga Wowote Juu ya Lowassa

Dr. Slaa: Hakuna Uoga Wowote Juu ya Lowassa

Hakuna uoga wowote juu ya Lowassa au CCM kutaka Urais. Wanaosema kuna uoga wanapotosha ukweli. Kuna mshangao tu, kwamba "wana lipi jipya"?
Source😀r Slaa Tweet!
Katibu mkuu Chadema!
Sina hakika kama hii ni akaunti halisi ya Slaa (PhD) ingawa naunga mkono yote yaliyomo kwenye message
 
Hofu yangu kwa Lowasa akipitishwa na CCM kugombea urais atafanya vurugu za kila aina ili ashinde.Ataua,atahonga sana na kila aina ya uchama ilimradi tu ashinde.Hii ni kwa katika hali ya kawaida hana uwezo wa kushinda kutokana na alivyo chafuka kwa ufisadi.
 
Hakuna uoga wowote juu ya Lowassa au CCM kutaka Urais. Wanaosema kuna uoga wanapotosha ukweli. Kuna mshangao tu, kwamba "wana lipi jipya"?
Source😀r Slaa Tweet!
Katibu mkuu Chadema!

Dr. Slaa bado unataka kugombea urais?
 
Lowasa nasikia ana ugonjwa wa kusahau,sasa sijui itajuwaje akiwa raisi..
Hata huyu hapo nyuma tuliambiwa ameadhirika lakini anamaliza! Hakuna asiye Mgonjwa hata wewe!!!!
 
Mtu anatishwa na kagenzi tu ije kuwa ccm asitanie kakonda kama stiki anajihami tu.

Simiyu ukiamua kuwatukana viongozi wa cdm,ujue na sisi wana cdm tutaamua kuwatukana viongozi wa ccm,tuongelee utendaji wa viongozi wetu ki kazi na siyo kuawashambulia ki maumbo yao.
 
Hofu yangu kwa Lowasa akipitishwa na CCM kugombea urais atafanya vurugu za kila aina ili ashinde.Ataua,atahonga sana na kila aina ya uchama ilimradi tu ashinde.Hii ni kwa katika hali ya kawaida hana uwezo wa kushinda kutokana na alivyo chafuka kwa ufisadi.
Don't judge a book by its cover!
 
Back
Top Bottom