Dr. Slaa hakuna kama wewe

Dr. Slaa hakuna kama wewe

Lipumba amefanya sehemu yake. Na sasa ni wakati wa awamu ya watu wengine kuanzia anapoishia. Ukumbuke wanadamu wote hawana permanency. Unajuaje kama hata asingeondoka kihivo angeondoka kivingine nje hata ya utashi wake?

Kikubwa ni kwamba UKaWA siyo mtu, UKAWA siyo kiongozi, UKAWA ni mkusanyiko wa nguvu za nia na mallengo toka watu mbali mbai ambao ni Watanzania wanaochukia uonevu na ubaradhurli wa ccm.

Huu siyo wakati wa kuwalaumu wanaoamua tofauti.

Vitani kuna watu wanaangukiwa na adui mpaka chini.

Vitani kuna majeruhi wanahitaji tiba na hawawezi kwenda front.

Vitani kuna deserters ambao lazima hawaepukiki. Ni wanadamu hawa.

Vitani kuna wapiganaji wasio na nia thabiti ila wanakwenda kwa mob psychology.

Vitani kuna matwaisii ambao mara nyingine huinuka na kuwa imara kuliko hata waliokuwa juu yao.

Yote haya tusije tukajisahau na kuona ni mambo mageni.

Lakini pamoja na yote, TUNASONGA MBELE. KAMANDA MTATIRO AMEKSHAKABA NAFASI. JESHI LINASONGA MBELE. DR. SLAA ANAONGEZA NGUVU NA SOON ATATUJOIN. LAKINI PIA BADO JESHI LETU LINAIMARIKA KWA KUPATA WAPIGANAJI WENGI WALIO TAYARI KUFUATA MPANGO WA VITA AMBAO HATA KAMA VIONGOZI WETU WANAATHIRIKA VITANI, MPANGO HUO UPO IMARA.

TUACHE KUSONONEKA NA KULAUMU YANAYOTOKEA AMBAYO NI YA KAWAIDA SANA VITANI. TUNASONGA MBELE CHINI YA MAKAMANDA WETU WALIOPO NASISI HADI UKOMBOZI UNAPATIKANA.

ALUTA CONTINIUA!!!!!!!!!!!!!!!!, MAPAMBANO YANAENDELEA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, USHINDI NI LAZIMA KWA SABABU MUNGU YUKO UPANDE WETU NA ANAZIDI KUTUIMARISHA KATIKA NIA NA MAARIFA!.

MSHINDI NI UKAWA!!!!!!!!!
Labda tu niongezee nyama katika walaka wako mzuri uliojaa uzalendo wa hali ya juu.....KIMSINGI NI KWAMBA WATU WANAFIKI KATIKA UWANJA SIO WATU KUTOKA MBINGUNI BALI NI WATU TULIONAO KARIBU AMBAO DAIMA HUJIFANYA WANAGUSWA NA MATATIZO YETU.....JAMBO LA KUMSHUKURU MUUMBA NI KWAMBA AMETUONYESHA RANGI ZA WANAFIKI MAPEMA SANA....NA HII NI AHUENI KWETU......DAIMA MWENYEZI MUNGU HAJAWAHI KUMFICHA MNAFIKI KAMWE........NA HILO LIMEJIDHIHIRISHA KWA PROF. UCHWARA LIPUMBA , ANAYEJINADI KILA UCHAO KUGUSWA NA MATATIZO ILIHALI ANAYAFURAHIA............ALUTA CONTINUA...........
 
mleta uzi huu nakushukuru sana na ninao uhakika kwamba Mungu atakulipa .
 
Ritz,hii comment si nzuri,ingekuwa vyema kama unamjua kiongozi ambaye ni wa dini ya pili unamuongezea na hata kama hakumuweka inawezekana amemsahau au hamjui.

Mfano kwa Zanzibar hakutakuja kuwa na kiongozi kama Abeid Aman Karume,piga ua miaka mingi ijaya hakutakuwa kama yeye,nina uhakika na niachosema.
Mkuu mtu yeyote anayesimama kwenye hoja za kidini katika mambo ya kitaifa ujue amefirisika kimawazo.......
 
Kwako Dr. Slaa,

Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa na mtu mzima mwenye maamuzi na tena maamuzi thabiti. Baadhi ya sifa ulizonazo ni pamoja na


1. KIONGOZI: Wewe ni kiongozi na hakuna anayeweza kubisha hili. Umekuwa kiongozi tangu shule ya msingi, sekondari, vyuo, kanisani na kwenye taasisi za umma. Wakiitwa viongozi ambao ni "Multisectoral" basi wewe umo. Umeweza kuwaunganisha watu wa kada zote. Umeongoza siasa za nchi hii kwenye mfumo wa vyama vingi na umefanya mabadiliko makubwa. Umeweza kukifanya chadema kuitwa kweli chama cha upinzani. Umejenga na kutetea hoja zako bungeni na zilikuwa ni kwa maslahi ya taifa na siyo chama. Dr. Slaa wewe ni kiongozi na utabaki na kuendelea kuheshimiwa sana.'

2. MCHA MUNGU: Dr. hakuna aliye na shaka hata chembe kwamba wewe ni mcha Mungu. Umekulia muda mrefu sana kanisani ukimtumikia Mungu na wanadamu. Unajua nini maana ya UTU na nini maana ya UBINADAMU. Umekuwa ukiwatumikia wananchi wa Tanzania na sio wa chadema. Utakumbukwa kwa hilo na hakuna wa kukuondolea hiyo karama.

3. MSEMA KWELI: Wewe umekuwa msema kweli pale panapohitajika kusema kweli una umesimamia ukweli. Wewe siyo mtu wa kuyumbishwa useme hili wala lile. Ukweli ni ukweli kwako na hauwezi kubadilika ukawa uongo

4. MSIMAMO: Wewe ni mtu mwenye misimamo. Ukisema hapana kwa jambo la hapana basi ndiyo itakavyokuwa na hakuna wa kukubadilisha. msimamo wako ndio uliofanya chadema ikasisima na kufika hapo ilipo sasa.

5. MAAMUZI: Umekuwa ni mtu mwenye maamuzi na kuyasimamia ili kuona mwisho wake. Maamuzi yako huwa unatumia busara kubwa na yanaheshimiwa.

Yako mengi ambayo naweza kuandika kitabu lakini kwa leo naomba niishie hapo niandike lile linipasalo kuandika:


Dr. Slaa kwa sasa nchi imefikia kiwango kikubwa cha demokrasia ambayo inahitaji watu makini, wavumilivu, wenye misimamo, na watakaotetea demokrasia ya kweli. Katika maandiko matakatifu kuna maneno ya kusamehe na kusamehewa. Binadamu kwa hulka yao ni watu wa kukosea, wanaombana msamaha na shughuli zinaendelea. Najua wewe ni Mkristo na unajua nini maana ya kusamehe.

Sasa Dr. Slaa, ninavyokufahamu wewe kubadilisha misimamo yako ni vigumu sana ila kwa hili nitakaloandika hapa tafadhali nisome kwa umakini mkubwa:

Chadema na UKAWA vinapita kwenye wakati mgumu sana kisiasa. Kuna watu ambao jamii imewaamini na kuwapa dhamana na wewe ukiwa mmoja wako. Pamoja na kwamba "inasemekana" mlihitilafiana kwenye baadhi ya mambo, kuna jambo moja kubwa sana umefanya ambalo linadhihirisha sifa za kiongozi aliyekomaa.

Dr. wewe ni MVUMILIVU, MSTAHIMILIVU, MKOMAVU na USIYEKURUPUKA. Ulishawahi kusema wewe siyo mtu wa kukurupuka na kwa kawaida huwa ukiongea unahesabu kila neno litokalo kinywani mwako.

Kwa waraka huu Mhe. Dr Slaa, nakuomba kwa UKOMAVU wa kisiasa ulioonyesha tangu kuanza kwa mchakato wa wagombea wa urais na hasa UKAWA tafadhali sana USITETEREKE na naamini mpaka sasa maneno yako ya kuwa HUKURUPUKI yametimia. Umekuwa kimya bila kusema lolote. Ni vema ukawa kimya hivyo ila nishauri UENDELEE NA SHUGHULI ZA CHAMA. Likishapita hili la uchaguzi basi mtakaa tena kama chama kuangalia mlikojikwaa.

Dr. naweza kuwa naandikia mwenyewe lakini wako wengi wenye mawazo na mwono kama wa kwangu. Dr. ninakujua, ninakufahamu, tunaomba kama utaongea na press hakikisha unatoa neno la kujenga na siyo kubomoa.

Prof. Lipumba amefanya ndivyo sivyo. Siyo kwa wakati huu alitakiwa kufanya alivyofanya. It is costful kwa chama cha CUF na UKAWA. Dr. endelea kumeza hizo shubiri Mungu atakurimu.


Makene hakikisha mzee anapata huu waraka wangu.



Naomba kutoa hoja.
cc. @drwilbrod slaa
 
hizi sifa mara nyingi tumezoea kuona wakipwe watu waliokufa. kwani na slaa kafa? nauliza!

Kwako Dr. Slaa,

Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa na mtu mzima mwenye maamuzi na tena maamuzi thabiti. Baadhi ya sifa ulizonazo ni pamoja na


1. KIONGOZI: Wewe ni kiongozi na hakuna anayeweza kubisha hili. Umekuwa kiongozi tangu shule ya msingi, sekondari, vyuo, kanisani na kwenye taasisi za umma. Wakiitwa viongozi ambao ni "Multisectoral" basi wewe umo. Umeweza kuwaunganisha watu wa kada zote. Umeongoza siasa za nchi hii kwenye mfumo wa vyama vingi na umefanya mabadiliko makubwa. Umeweza kukifanya chadema kuitwa kweli chama cha upinzani. Umejenga na kutetea hoja zako bungeni na zilikuwa ni kwa maslahi ya taifa na siyo chama. Dr. Slaa wewe ni kiongozi na utabaki na kuendelea kuheshimiwa sana.'

2. MCHA MUNGU: Dr. hakuna aliye na shaka hata chembe kwamba wewe ni mcha Mungu. Umekulia muda mrefu sana kanisani ukimtumikia Mungu na wanadamu. Unajua nini maana ya UTU na nini maana ya UBINADAMU. Umekuwa ukiwatumikia wananchi wa Tanzania na sio wa chadema. Utakumbukwa kwa hilo na hakuna wa kukuondolea hiyo karama.

3. MSEMA KWELI: Wewe umekuwa msema kweli pale panapohitajika kusema kweli una umesimamia ukweli. Wewe siyo mtu wa kuyumbishwa useme hili wala lile. Ukweli ni ukweli kwako na hauwezi kubadilika ukawa uongo

4. MSIMAMO: Wewe ni mtu mwenye misimamo. Ukisema hapana kwa jambo la hapana basi ndiyo itakavyokuwa na hakuna wa kukubadilisha. msimamo wako ndio uliofanya chadema ikasisima na kufika hapo ilipo sasa.

5. MAAMUZI: Umekuwa ni mtu mwenye maamuzi na kuyasimamia ili kuona mwisho wake. Maamuzi yako huwa unatumia busara kubwa na yanaheshimiwa.

Yako mengi ambayo naweza kuandika kitabu lakini kwa leo naomba niishie hapo niandike lile linipasalo kuandika:


Dr. Slaa kwa sasa nchi imefikia kiwango kikubwa cha demokrasia ambayo inahitaji watu makini, wavumilivu, wenye misimamo, na watakaotetea demokrasia ya kweli. Katika maandiko matakatifu kuna maneno ya kusamehe na kusamehewa. Binadamu kwa hulka yao ni watu wa kukosea, wanaombana msamaha na shughuli zinaendelea. Najua wewe ni Mkristo na unajua nini maana ya kusamehe.

Sasa Dr. Slaa, ninavyokufahamu wewe kubadilisha misimamo yako ni vigumu sana ila kwa hili nitakaloandika hapa tafadhali nisome kwa umakini mkubwa:

Chadema na UKAWA vinapita kwenye wakati mgumu sana kisiasa. Kuna watu ambao jamii imewaamini na kuwapa dhamana na wewe ukiwa mmoja wako. Pamoja na kwamba "inasemekana" mlihitilafiana kwenye baadhi ya mambo, kuna jambo moja kubwa sana umefanya ambalo linadhihirisha sifa za kiongozi aliyekomaa.

Dr. wewe ni MVUMILIVU, MSTAHIMILIVU, MKOMAVU na USIYEKURUPUKA. Ulishawahi kusema wewe siyo mtu wa kukurupuka na kwa kawaida huwa ukiongea unahesabu kila neno litokalo kinywani mwako.

Kwa waraka huu Mhe. Dr Slaa, nakuomba kwa UKOMAVU wa kisiasa ulioonyesha tangu kuanza kwa mchakato wa wagombea wa urais na hasa UKAWA tafadhali sana USITETEREKE na naamini mpaka sasa maneno yako ya kuwa HUKURUPUKI yametimia. Umekuwa kimya bila kusema lolote. Ni vema ukawa kimya hivyo ila nishauri UENDELEE NA SHUGHULI ZA CHAMA. Likishapita hili la uchaguzi basi mtakaa tena kama chama kuangalia mlikojikwaa.

Dr. naweza kuwa naandikia mwenyewe lakini wako wengi wenye mawazo na mwono kama wa kwangu. Dr. ninakujua, ninakufahamu, tunaomba kama utaongea na press hakikisha unatoa neno la kujenga na siyo kubomoa.

Prof. Lipumba amefanya ndivyo sivyo. Siyo kwa wakati huu alitakiwa kufanya alivyofanya. It is costful kwa chama cha CUF na UKAWA. Dr. endelea kumeza hizo shubiri Mungu atakurimu.


Makene hakikisha mzee anapata huu waraka wangu.



Naomba kutoa hoja.
 
usiandike mambo usiyoyajua. hujiulizi kwa nini mwanzo alikuwa mstari wa mbele na sasa aje kivingine. Prof. Lipumba hakuwa kiongozi wa nafsi yake usema anajiongoza bali alikuwa kiongozi wa watu. unajua kilichotokea kwa subordinates wake?
Mbona slaa alishiriki kuanzia mwanzo mwisho na akakaa kimya na husemi? yupi bora aliyeweka msimamo wake wazi au ambaye kanyamaza kimya kutatanisha watu?
After all Lipumba alichosema ni kuwa anakuwa mwanachama wa kawaida wa CUF. lipumba hakuwekwa pale na ukawa bali wanachama wa CUF, na kama wameamua vingeni hana chakufanya zaidi ya kufuata matakwa yao. tumia akili fa'la wewe.

Labda tu niongezee nyama katika walaka wako mzuri uliojaa uzalendo wa hali ya juu.....KIMSINGI NI KWAMBA WATU WANAFIKI KATIKA UWANJA SIO WATU KUTOKA MBINGUNI BALI NI WATU TULIONAO KARIBU AMBAO DAIMA HUJIFANYA WANAGUSWA NA MATATIZO YETU.....JAMBO LA KUMSHUKURU MUUMBA NI KWAMBA AMETUONYESHA RANGI ZA WANAFIKI MAPEMA SANA....NA HII NI AHUENI KWETU......DAIMA MWENYEZI MUNGU HAJAWAHI KUMFICHA MNAFIKI KAMWE........NA HILO LIMEJIDHIHIRISHA KWA PROF. UCHWARA LIPUMBA , ANAYEJINADI KILA UCHAO KUGUSWA NA MATATIZO ILIHALI ANAYAFURAHIA............ALUTA CONTINUA...........
 
Pole sana wana UKAWA mliokuwa mnapambana kuleta mabadiliko haya kwa dhati sana na kwa kujitolea muda na mali zenu kidogo mlizonazo, tena mkimtanguliza MUNGU kwa imani kuwa ni katika kizazi chenu hiki mtashuhudia mabadiliko makubwa kisiasa kwa kuuingiza Upinzani Ikulu ya Magogoni. Nawapa pole kwa sababu mliamini pia kuwa viongozi wa mabadiliko haya wana dhamira kama yenu; na kwamba wakati wote walitanguliza maslahi ya Taifa hili Mbele; na ya kwamba wako tayari kuingia katika vitabu vya historia ya wanamapinduzi wa karne hii kwa kusimamia mabadiliko ya kisiasa hata kama ni kwa muda mrefu na kwa kukabiliana na vikwazo vingi. Walipokishambulia Chama Tawala cha CCM na Serikali yake, makamanda hawa walijipambanua kama majemedari ambao hawawezi kuchanganyika wala kushikamana au kuwa na suluhu (Compromise) ya aina yoyote ile na watu wenye tuhuma za kulihujumu Taifa hili. Watu walianza kujenga imani kubwa kwa Upinzani ambao ulianza kuonyesha cheche zake kupitia vyama kama DP na NCCR Mageuzi miaka ya 90, baadae CUF miaka ya 90 mpaka Elfu 2 na hatimae kwa kishindo kabisa CHADEMA miaka ya elfu 2 na Tano hata sasa. Pamoja na kukuwa huko kwa Demokrasia ambako kumeliletea taifa hili Tija kubwa kwani CCM ilianza kutambua kukua kwa upinzani nchini na kuzingatia (hata kama bila kukiri hadharani) baadhi hoja za wapinzani na kufanya mabadiliko stahiki. CCM haikutetereka sana. CCM ili kujiimarisha zaidi na kurejesha imani kwa umma, kilianza kufanya mageuzi makubwa yenye dhamira ya kuwarudishia chama wakulima na wafanyakazi ambao kimsing ndio wenye chama hiki. Haikuwa kazi nyepesi kwani matajiri ambao kimsingi awali walikuwa vijana wa Mwalimu nyerere na wazalendo kwelikweli, walikuwa wamejinasibisha na CCM sambamba na kujijenga kiuchumi kwa njia/ ambazo haziko wazi sana hivyo kuwa na nguvu iliyowatisha wanamageuzi wengi ndani ya CCM kuwa wasingeweza kuguguswa achilia mbali kutikiswa na kuanguka. Hatimae CCM ambayo ni chama dola, kwa kutumia hekima ya wazee na inteligensia wakafanikiwa kuwaondoa baadhi ya vigogo matajiri wa chama hicho bila kuleta mtikisiko mkubwa kama ilivyokuwa inahofiwa na wengi. CCM ilikwenda mbali zaidi katika hatua yake ya kujizaa upya kwa kutopitisha majina makubwa na maarufu ya baadhi ya wanachama wake katika mchakato wa kumpata mgombea wa Uraisi kupitia Chama hiki Tawala, CCM.
Kosa la Upinzani kupitia UKAWA:
Ukiwa na njaa sana kuna hatari ya kuvamia chakula bila hata kunawa pale tu utakapokiona chakula na kudhani unaweza kukila. Kumbe inawezekana chakula unachokimbilia labda kina sumu. Vigogo wa CCM waliotemwa na chama hiki kikongwe walighadhibika sana kiasi cha kuamua kwenda kuungana na Wapinzani ili kuwaadhibu au kuwatia adabu ma- comrade wenzao wa CCM. Wapinzani nao wakawapokea wakiamini hawa ni mtaji wa kuengilia Ikulu bila hata kufanya tathmini ya wasifu wa kila mkimbizi alietoka CCM. Hili ni kosa kubwa sana hasa mpinzani wako anapokuwa chama kama cha CCM. UKAWA kwa umoja wao walipo utazama umaarufu wa watimliwa hawa na rasilimali zao wakaamini kuwa wakiunganisha nguvu pamoja nao basi CCM mara moja itakuwa dhaifu na kwamba kabla ya saa 4 asubuhi watakuwa wameingia magogoni. Kwa sababu ya ufinyu wa Muda, "Wakawa" hawa walishindwa kuwashirikisha kwa kiasi cha kutosheleza na kupata ridhaa ya wanachama wao walio wengi katika vyama vyao. Hivyo kwa sehemu kubwa maamuzi ya kuwapokea hawa majeruhi wa kisiasa wa CCM yakafanywa na viongozi wachache wa kamati kuu za vyama vinavyounda UKAWA.

Hapa ndipo ninapowapa pole wafuasi wa UKAWA kwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia bila kujua ukubwa au uzito wake. Kamanda Father Dr. Slaa na Sheikh Prof. Ibrahim wao hawakuwa na mtazamo unaofanana na Kamanda Mbowe, lakini walijaribu kutoa mawazo mbadala ya kujenga zaidi bila mafanikio. Na ndio sababu ya ukimya wa Slaa na Kuachia Umwenyekiti wa CUF kwa Ibrahim.
NAFASI YA UKAWA UCHAGUZI UJAO IKOJE?
Ni mbaya sana, CHADEMA nje ya UKAWA walishakuwa katika nafasi nzuri zaidi kuliko waliyonayo sas ndani ya umoja huo. Sasa wanakazi ya kumanage na kuzuia mipasuko ndani ya vyama vyao na katika umoja wao wa UKAWA. Wana kazi ya kuwasafisha wanasiasa ambao waliwachafua wao wenyewe, kujisafisha wenyewe na uchafu wa kununuliwa na mafisadi walio wapokea, kampeni na kuidhibiti ama kuipunguzia CCM umaarufu wake. Hizi ni kazi ngumu sana hasa ukizingatia kuwa mbele ya walala hoi sasa CCM inang'ara kwa namna wanavyo washughulikia mafisadi vigogo ndani ya chama chao. Chaguzi za wagombea wa CCM ni za Kidemokrasia zaidi ukilinganisha na vyama vingine pamoja na changamoto za hapa na Pale. Poleni sana makamanda wafuasi wa UKAWA kwa kubadilishiwa ramani ya safari yenu uelekea kile mnachokiita ukombozi wa Pili. Lakini hao wenzenu yaani viongozi wenu UKOMBOZI wamesha upata kwenye familia zao kwa mujibu wa migawo ambayo kwa ukubwa wake vijana wengine wa kamati kuu za vyama vya UKAWA ilibidi watumie mifuko ya RAMBO na SANDARUSI kubebea mahela. Hey GUYS! What were you thinking!? Wanaowashinikiza kwenda Ikulu wamewapa nini na mtawalipa nini kama sio rasilimali zetu?

Mwisho niseme tu kwa masikitiko makubwa nawapa pole Dr. Slaa na Ibrahim. Kwanza vyama UKAWA kwa kutowasikiliza watapa laana kubwa ya kushindwa katika uchaguzi ujao. Na mimi nasema laana hiyo acha iwatafune. Lakini Pia niwaombe mzungumze na watanzania wote kupitia vyombo vya habari ambao wanawapenda na wana hamu ya kuwasikia hususan Mzee Slaa ambae umenyamaza mno. Nafahamu lazima ulikumbwa na mshangao mkubwa kwa namna ambavyo fedha chafu za ESCROW na Richmond na Meremeta zimepofusha macho ya wpiganaji wako vijana wanaojiona kuwa ndio wenye chama kiasi cha kuusahau mchango wako muhimu sio tu kwa CHADEMA bali kw taifa zima. Rekodi yakoni ya kutukuka kwani uliyapigia kelele CCM ikayafanyia kazi. na Ndio maana mafisadi wamekosa sifa ya uongozi, sasa ajabu CHADEMA iwaone tena LULU? KAAH! Hii ni Dharau kubwa kwa baba yetu Dr. Slaa. Halafu nyie mnao semasema Mama Slaa Mkome.
Ibrahimu na Slaa bado ni tunu ya Taifa hili wakamua kupumzika tuheshimu mawazo yao. Wakiamu kuendeleza mapambano kupitia vyama safi vya siasa kama ACT, CCM na ADC tuwange mkono pia. MUNGU AWABARIKI SANA WAZEE HAWA NA WAFUASI WAO kama mimi. CCM Mbele kwa Mbele.
 
Mkuu mtu yeyote anayesimama kwenye hoja za kidini katika mambo ya kitaifa ujue amefirisika kimawazo.......

Ni kweli.Ninatamani watu kama hawa wangefanya site visit maeneo ya Zanzibar waone ni namna gani ubaguzi wa rangi na ukabila umewapeleka.Hawana imani na viongozi wao leo lakini wanashindwa kubadilisha viongozi wazembe sababu ya itikadi zilizowekwa kwa kutumia ukabila na rangi zao.

Ni tatizo kubwa tunalotaka kujaribu kuliweka.
 
Slaa kurudi CHADEMA lowasa atimke na mbowe afungwe.

Acha uchochezi wa ki CCM! Dr. Slaa you makini zaidi. Naamini hatatusaliti umma ulio katikati ya vita! Hii ni vita, wapo wanaojeruhiwa, wanaokufa na wapo pia wanaosimama mahali pa mashujaa wetu wanaojeruhiwa na kupoteza maisha. Viongozi wetu wapendwa yaani Dr. Slaa na Prof. Lipumba wamejeruhiwa, wanahitaji muda wa kurejesha afya zao na inatia moyo kwamba wamethibitisha tupo pamoja Katika vita ya kumng'oa shetani. Imenifurahisha kauli ya Lipumba aliyotamka kwamba kamwe hatakihama chama chake na UKAWA, bali atabaki kuwa mwanachama wa kawaida mwaminifu atakayeenda mstari wa mbele kupambana kwa ajali ya UKAWA. A luta continua!
 
Ni kweli hakuna kama Slaa maana ni yeye pekee ndio amemsaliti Mungu!
 
Kwako Dr. Slaa,

Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa na mtu mzima mwenye maamuzi na tena maamuzi thabiti. Baadhi ya sifa ulizonazo ni pamoja na


1. KIONGOZI: Wewe ni kiongozi na hakuna anayeweza kubisha hili. Umekuwa kiongozi tangu shule ya msingi, sekondari, vyuo, kanisani na kwenye taasisi za umma. Wakiitwa viongozi ambao ni "Multisectoral" basi wewe umo. Umeweza kuwaunganisha watu wa kada zote. Umeongoza siasa za nchi hii kwenye mfumo wa vyama vingi na umefanya mabadiliko makubwa. Umeweza kukifanya chadema kuitwa kweli chama cha upinzani. Umejenga na kutetea hoja zako bungeni na zilikuwa ni kwa maslahi ya taifa na siyo chama. Dr. Slaa wewe ni kiongozi na utabaki na kuendelea kuheshimiwa sana.'

2. MCHA MUNGU: Dr. hakuna aliye na shaka hata chembe kwamba wewe ni mcha Mungu. Umekulia muda mrefu sana kanisani ukimtumikia Mungu na wanadamu. Unajua nini maana ya UTU na nini maana ya UBINADAMU. Umekuwa ukiwatumikia wananchi wa Tanzania na sio wa chadema. Utakumbukwa kwa hilo na hakuna wa kukuondolea hiyo karama.

3. MSEMA KWELI: Wewe umekuwa msema kweli pale panapohitajika kusema kweli una umesimamia ukweli. Wewe siyo mtu wa kuyumbishwa useme hili wala lile. Ukweli ni ukweli kwako na hauwezi kubadilika ukawa uongo

4. MSIMAMO: Wewe ni mtu mwenye misimamo. Ukisema hapana kwa jambo la hapana basi ndiyo itakavyokuwa na hakuna wa kukubadilisha. msimamo wako ndio uliofanya chadema ikasisima na kufika hapo ilipo sasa.

5. MAAMUZI: Umekuwa ni mtu mwenye maamuzi na kuyasimamia ili kuona mwisho wake. Maamuzi yako huwa unatumia busara kubwa na yanaheshimiwa.

Yako mengi ambayo naweza kuandika kitabu lakini kwa leo naomba niishie hapo niandike lile linipasalo kuandika:


Dr. Slaa kwa sasa nchi imefikia kiwango kikubwa cha demokrasia ambayo inahitaji watu makini, wavumilivu, wenye misimamo, na watakaotetea demokrasia ya kweli. Katika maandiko matakatifu kuna maneno ya kusamehe na kusamehewa. Binadamu kwa hulka yao ni watu wa kukosea, wanaombana msamaha na shughuli zinaendelea. Najua wewe ni Mkristo na unajua nini maana ya kusamehe.

Sasa Dr. Slaa, ninavyokufahamu wewe kubadilisha misimamo yako ni vigumu sana ila kwa hili nitakaloandika hapa tafadhali nisome kwa umakini mkubwa:

Chadema na UKAWA vinapita kwenye wakati mgumu sana kisiasa. Kuna watu ambao jamii imewaamini na kuwapa dhamana na wewe ukiwa mmoja wako. Pamoja na kwamba "inasemekana" mlihitilafiana kwenye baadhi ya mambo, kuna jambo moja kubwa sana umefanya ambalo linadhihirisha sifa za kiongozi aliyekomaa.

Dr. wewe ni MVUMILIVU, MSTAHIMILIVU, MKOMAVU na USIYEKURUPUKA. Ulishawahi kusema wewe siyo mtu wa kukurupuka na kwa kawaida huwa ukiongea unahesabu kila neno litokalo kinywani mwako.

Kwa waraka huu Mhe. Dr Slaa, nakuomba kwa UKOMAVU wa kisiasa ulioonyesha tangu kuanza kwa mchakato wa wagombea wa urais na hasa UKAWA tafadhali sana USITETEREKE na naamini mpaka sasa maneno yako ya kuwa HUKURUPUKI yametimia. Umekuwa kimya bila kusema lolote. Ni vema ukawa kimya hivyo ila nishauri UENDELEE NA SHUGHULI ZA CHAMA. Likishapita hili la uchaguzi basi mtakaa tena kama chama kuangalia mlikojikwaa.

Dr. naweza kuwa naandikia mwenyewe lakini wako wengi wenye mawazo na mwono kama wa kwangu. Dr. ninakujua, ninakufahamu, tunaomba kama utaongea na press hakikisha unatoa neno la kujenga na siyo kubomoa.

Prof. Lipumba amefanya ndivyo sivyo. Siyo kwa wakati huu alitakiwa kufanya alivyofanya. It is costful kwa chama cha CUF na UKAWA. Dr. endelea kumeza hizo shubiri Mungu atakurimu.


Makene hakikisha mzee anapata huu waraka wangu.



Naomba kutoa hoja.

nimedisvalue kabisa hasa baada ya lipumba kusaliti jahaz
 
Pole sana wana UKAWA mliokuwa mnapambana kuleta mabadiliko haya kwa dhati sana na kwa kujitolea muda na mali zenu kidogo mlizonazo, tena mkimtanguliza MUNGU kwa imani kuwa ni katika kizazi chenu hiki mtashuhudia mabadiliko makubwa kisiasa kwa kuuingiza Upinzani Ikulu ya Magogoni. Nawapa pole kwa sababu mliamini pia kuwa viongozi wa mabadiliko haya wana dhamira kama yenu; na kwamba wakati wote walitanguliza maslahi ya Taifa hili Mbele; na ya kwamba wako tayari kuingia katika vitabu vya historia ya wanamapinduzi wa karne hii kwa kusimamia mabadiliko ya kisiasa hata kama ni kwa muda mrefu na kwa kukabiliana na vikwazo vingi. Walipokishambulia Chama Tawala cha CCM na Serikali yake, makamanda hawa walijipambanua kama majemedari ambao hawawezi kuchanganyika wala kushikamana au kuwa na suluhu (Compromise) ya aina yoyote ile na watu wenye tuhuma za kulihujumu Taifa hili. Watu walianza kujenga imani kubwa kwa Upinzani ambao ulianza kuonyesha cheche zake kupitia vyama kama DP na NCCR Mageuzi miaka ya 90, baadae CUF miaka ya 90 mpaka Elfu 2 na hatimae kwa kishindo kabisa CHADEMA miaka ya elfu 2 na Tano hata sasa. Pamoja na kukuwa huko kwa Demokrasia ambako kumeliletea taifa hili Tija kubwa kwani CCM ilianza kutambua kukua kwa upinzani nchini na kuzingatia (hata kama bila kukiri hadharani) baadhi hoja za wapinzani na kufanya mabadiliko stahiki. CCM haikutetereka sana. CCM ili kujiimarisha zaidi na kurejesha imani kwa umma, kilianza kufanya mageuzi makubwa yenye dhamira ya kuwarudishia chama wakulima na wafanyakazi ambao kimsing ndio wenye chama hiki. Haikuwa kazi nyepesi kwani matajiri ambao kimsingi awali walikuwa vijana wa Mwalimu nyerere na wazalendo kwelikweli, walikuwa wamejinasibisha na CCM sambamba na kujijenga kiuchumi kwa njia/ ambazo haziko wazi sana hivyo kuwa na nguvu iliyowatisha wanamageuzi wengi ndani ya CCM kuwa wasingeweza kuguguswa achilia mbali kutikiswa na kuanguka. Hatimae CCM ambayo ni chama dola, kwa kutumia hekima ya wazee na inteligensia wakafanikiwa kuwaondoa baadhi ya vigogo matajiri wa chama hicho bila kuleta mtikisiko mkubwa kama ilivyokuwa inahofiwa na wengi. CCM ilikwenda mbali zaidi katika hatua yake ya kujizaa upya kwa kutopitisha majina makubwa na maarufu ya baadhi ya wanachama wake katika mchakato wa kumpata mgombea wa Uraisi kupitia Chama hiki Tawala, CCM.
Kosa la Upinzani kupitia UKAWA:
Ukiwa na njaa sana kuna hatari ya kuvamia chakula bila hata kunawa pale tu utakapokiona chakula na kudhani unaweza kukila. Kumbe inawezekana chakula unachokimbilia labda kina sumu. Vigogo wa CCM waliotemwa na chama hiki kikongwe walighadhibika sana kiasi cha kuamua kwenda kuungana na Wapinzani ili kuwaadhibu au kuwatia adabu ma- comrade wenzao wa CCM. Wapinzani nao wakawapokea wakiamini hawa ni mtaji wa kuengilia Ikulu bila hata kufanya tathmini ya wasifu wa kila mkimbizi alietoka CCM. Hili ni kosa kubwa sana hasa mpinzani wako anapokuwa chama kama cha CCM. UKAWA kwa umoja wao walipo utazama umaarufu wa watimliwa hawa na rasilimali zao wakaamini kuwa wakiunganisha nguvu pamoja nao basi CCM mara moja itakuwa dhaifu na kwamba kabla ya saa 4 asubuhi watakuwa wameingia magogoni. Kwa sababu ya ufinyu wa Muda, "Wakawa" hawa walishindwa kuwashirikisha kwa kiasi cha kutosheleza na kupata ridhaa ya wanachama wao walio wengi katika vyama vyao. Hivyo kwa sehemu kubwa maamuzi ya kuwapokea hawa majeruhi wa kisiasa wa CCM yakafanywa na viongozi wachache wa kamati kuu za vyama vinavyounda UKAWA.

Hapa ndipo ninapowapa pole wafuasi wa UKAWA kwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia bila kujua ukubwa au uzito wake. Kamanda Father Dr. Slaa na Sheikh Prof. Ibrahim wao hawakuwa na mtazamo unaofanana na Kamanda Mbowe, lakini walijaribu kutoa mawazo mbadala ya kujenga zaidi bila mafanikio. Na ndio sababu ya ukimya wa Slaa na Kuachia Umwenyekiti wa CUF kwa Ibrahim.
NAFASI YA UKAWA UCHAGUZI UJAO IKOJE?
Ni mbaya sana, CHADEMA nje ya UKAWA walishakuwa katika nafasi nzuri zaidi kuliko waliyonayo sas ndani ya umoja huo. Sasa wanakazi ya kumanage na kuzuia mipasuko ndani ya vyama vyao na katika umoja wao wa UKAWA. Wana kazi ya kuwasafisha wanasiasa ambao waliwachafua wao wenyewe, kujisafisha wenyewe na uchafu wa kununuliwa na mafisadi walio wapokea, kampeni na kuidhibiti ama kuipunguzia CCM umaarufu wake. Hizi ni kazi ngumu sana hasa ukizingatia kuwa mbele ya walala hoi sasa CCM inang'ara kwa namna wanavyo washughulikia mafisadi vigogo ndani ya chama chao. Chaguzi za wagombea wa CCM ni za Kidemokrasia zaidi ukilinganisha na vyama vingine pamoja na changamoto za hapa na Pale. Poleni sana makamanda wafuasi wa UKAWA kwa kubadilishiwa ramani ya safari yenu uelekea kile mnachokiita ukombozi wa Pili. Lakini hao wenzenu yaani viongozi wenu UKOMBOZI wamesha upata kwenye familia zao kwa mujibu wa migawo ambayo kwa ukubwa wake vijana wengine wa kamati kuu za vyama vya UKAWA ilibidi watumie mifuko ya RAMBO na SANDARUSI kubebea mahela. Hey GUYS! What were you thinking!? Wanaowashinikiza kwenda Ikulu wamewapa nini na mtawalipa nini kama sio rasilimali zetu?

Mwisho niseme tu kwa masikitiko makubwa nawapa pole Dr. Slaa na Ibrahim. Kwanza vyama UKAWA kwa kutowasikiliza watapa laana kubwa ya kushindwa katika uchaguzi ujao. Na mimi nasema laana hiyo acha iwatafune. Lakini Pia niwaombe mzungumze na watanzania wote kupitia vyombo vya habari ambao wanawapenda na wana hamu ya kuwasikia hususan Mzee Slaa ambae umenyamaza mno. Nafahamu lazima ulikumbwa na mshangao mkubwa kwa namna ambavyo fedha chafu za ESCROW na Richmond na Meremeta zimepofusha macho ya wpiganaji wako vijana wanaojiona kuwa ndio wenye chama kiasi cha kuusahau mchango wako muhimu sio tu kwa CHADEMA bali kw taifa zima. Rekodi yakoni ya kutukuka kwani uliyapigia kelele CCM ikayafanyia kazi. na Ndio maana mafisadi wamekosa sifa ya uongozi, sasa ajabu CHADEMA iwaone tena LULU? KAAH! Hii ni Dharau kubwa kwa baba yetu Dr. Slaa. Halafu nyie mnao semasema Mama Slaa Mkome.
Ibrahimu na Slaa bado ni tunu ya Taifa hili wakamua kupumzika tuheshimu mawazo yao. Wakiamu kuendeleza mapambano kupitia vyama safi vya siasa kama ACT, CCM na ADC tuwange mkono pia. MUNGU AWABARIKI SANA WAZEE HAWA NA WAFUASI WAO kama mimi. CCM Mbele kwa Mbele.


Ulipoanza kuandika nikajua bonge ya big thinker.... kumbe sivyo.... pole sana.... mawazo yako yamekaa kilumumba zaidi hayana mashiko
 
Kwako Dr. Slaa,

Nimekufahamu kwa takribani miaka 6. Ninafahamu baadhi ya tabia zako, unavyovipenda na usivyopenda. Wewe ni mtu mzima sana kwa sasa na kila ufanyacho kinachukuliwa kuwa kimefanywa na mtu mzima mwenye maamuzi na tena maamuzi thabiti. Baadhi ya sifa ulizonazo ni pamoja na


1. KIONGOZI: Wewe ni kiongozi na hakuna anayeweza kubisha hili. Umekuwa kiongozi tangu shule ya msingi, sekondari, vyuo, kanisani na kwenye taasisi za umma. Wakiitwa viongozi ambao ni "Multisectoral" basi wewe umo. Umeweza kuwaunganisha watu wa kada zote. Umeongoza siasa za nchi hii kwenye mfumo wa vyama vingi na umefanya mabadiliko makubwa. Umeweza kukifanya chadema kuitwa kweli chama cha upinzani. Umejenga na kutetea hoja zako bungeni na zilikuwa ni kwa maslahi ya taifa na siyo chama. Dr. Slaa wewe ni kiongozi na utabaki na kuendelea kuheshimiwa sana.'

2. MCHA MUNGU: Dr. hakuna aliye na shaka hata chembe kwamba wewe ni mcha Mungu. Umekulia muda mrefu sana kanisani ukimtumikia Mungu na wanadamu. Unajua nini maana ya UTU na nini maana ya UBINADAMU. Umekuwa ukiwatumikia wananchi wa Tanzania na sio wa chadema. Utakumbukwa kwa hilo na hakuna wa kukuondolea hiyo karama.

3. MSEMA KWELI: Wewe umekuwa msema kweli pale panapohitajika kusema kweli una umesimamia ukweli. Wewe siyo mtu wa kuyumbishwa useme hili wala lile. Ukweli ni ukweli kwako na hauwezi kubadilika ukawa uongo

4. MSIMAMO: Wewe ni mtu mwenye misimamo. Ukisema hapana kwa jambo la hapana basi ndiyo itakavyokuwa na hakuna wa kukubadilisha. msimamo wako ndio uliofanya chadema ikasisima na kufika hapo ilipo sasa.

5. MAAMUZI: Umekuwa ni mtu mwenye maamuzi na kuyasimamia ili kuona mwisho wake. Maamuzi yako huwa unatumia busara kubwa na yanaheshimiwa.

Yako mengi ambayo naweza kuandika kitabu lakini kwa leo naomba niishie hapo niandike lile linipasalo kuandika:


Dr. Slaa kwa sasa nchi imefikia kiwango kikubwa cha demokrasia ambayo inahitaji watu makini, wavumilivu, wenye misimamo, na watakaotetea demokrasia ya kweli. Katika maandiko matakatifu kuna maneno ya kusamehe na kusamehewa. Binadamu kwa hulka yao ni watu wa kukosea, wanaombana msamaha na shughuli zinaendelea. Najua wewe ni Mkristo na unajua nini maana ya kusamehe.

Sasa Dr. Slaa, ninavyokufahamu wewe kubadilisha misimamo yako ni vigumu sana ila kwa hili nitakaloandika hapa tafadhali nisome kwa umakini mkubwa:

Chadema na UKAWA vinapita kwenye wakati mgumu sana kisiasa. Kuna watu ambao jamii imewaamini na kuwapa dhamana na wewe ukiwa mmoja wako. Pamoja na kwamba "inasemekana" mlihitilafiana kwenye baadhi ya mambo, kuna jambo moja kubwa sana umefanya ambalo linadhihirisha sifa za kiongozi aliyekomaa.

Dr. wewe ni MVUMILIVU, MSTAHIMILIVU, MKOMAVU na USIYEKURUPUKA. Ulishawahi kusema wewe siyo mtu wa kukurupuka na kwa kawaida huwa ukiongea unahesabu kila neno litokalo kinywani mwako.

Kwa waraka huu Mhe. Dr Slaa, nakuomba kwa UKOMAVU wa kisiasa ulioonyesha tangu kuanza kwa mchakato wa wagombea wa urais na hasa UKAWA tafadhali sana USITETEREKE na naamini mpaka sasa maneno yako ya kuwa HUKURUPUKI yametimia. Umekuwa kimya bila kusema lolote. Ni vema ukawa kimya hivyo ila nishauri UENDELEE NA SHUGHULI ZA CHAMA. Likishapita hili la uchaguzi basi mtakaa tena kama chama kuangalia mlikojikwaa.

Dr. naweza kuwa naandikia mwenyewe lakini wako wengi wenye mawazo na mwono kama wa kwangu. Dr. ninakujua, ninakufahamu, tunaomba kama utaongea na press hakikisha unatoa neno la kujenga na siyo kubomoa.

Prof. Lipumba amefanya ndivyo sivyo. Siyo kwa wakati huu alitakiwa kufanya alivyofanya. It is costful kwa chama cha CUF na UKAWA. Dr. endelea kumeza hizo shubiri Mungu atakurimu.


Makene hakikisha mzee anapata huu waraka wangu.



Naomba kutoa hoja.

ilikuwaje akakurupuka upadri akaenda kuzini na mke wa mtu
 
Wewe unaemtusi Dr unalaa ya mungu na wazazi wako hawajakufundisha adabu
 
Siasa haina rafiki wa kudumu,bali maslahi ya kudumu
 
Ukawa imepoteza mwelekeo! Anayeondoka sasa ameona mbele! Wale wanaotazama mita tano mbele wataendelea kujiita wapambanaji wakati wameshaingia machinjioni. Heko kwa wale ambao wameona mashua ya Ukawa inakoelekea na kujitoa mapema. Bado kitambo kidogo tu na wasaliti halisi watajulikana tu! Mungu ni mwema ametupa kumbukumbu na teknolojia ya kuchukua rekodi!
 
Sikuwahi kudhani kama Slaa alikuwa ni mpinzani wa kweli Ila kwa haya yanayotokea sasa naamin Slaa ndiye mpinzani wa kweli CHADEMA na alikuwa anapambana kuhakikisha wanafika hata kama Wangechelewa, tofauti na Mbowe ambaye anaangalia hot opportunity hata kama ni short term hajali madhara na wala hafikirii kesho. Slaa hayumbishwi na wala cdhan kama anatamaa ya hela au madaraka kama baadhi ya watu wanavyoamini na ndo maana imekuwa ngumu kukubaliana na haya yanayotokea coz naamin kama ni taama naye angedai chake halafu aendelee kumpigia Lowasa kampeni
 
Back
Top Bottom