Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Hivi Chadema wana nani anayefanya kazi ya kupiga domo wakati huu wa kampeni kama CCM walivyokuwa na Makamba?
Makamba alitakiwa ajibiwe na mtu mwingine Chadema mwenye kazi hiyo (level ya Makamba) na sio Dr Slaa ambaye anagombea uraisi.
Mpaka wakati huu namsikia Dr Slaa peke yake....where is the team?
Wako huku....
Mbowe(Hai)
Zitto(Kigoma)
Mnyika(Ubungo)
Mdee(Kawe)
Mkwe1(Hanang)