Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,364
- 3,388
Maajabu!!!!!Mkuu si upo CCM???
we hujui robo 3 ya ccm wanamtaka lowasa. muulize Kikwete walimkaribishaje kule Dodoma kwenye kikao
Maajabu!!!!!Mkuu si upo CCM???
Mmeanza tena upuuzi wenu wa 2010. mtajilamba maka.lio mwaka huu.
Kazi ipo mbele yetu ya kusoma mada zisizo eleweka..
Ndoa ya EL na CDM inawatesa sana na kushindwa kupata muelekeo Oct.
Wanandoa ndy wanajiandaa fungate la kuzunguka Bara na Visiwani....
Maajabu!!!!!Mkuu si upo CCM???
Wiki iliyopita CHADEMA walifungua milango ya uchukuaji fomu kwa Wanachama wao kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwania urais kupitia chama hicho. Huu ni mtego ambao DR. SLAA aliwekewa na endapo angejichanganya tu na kuchukua fomu ANGEKATWA kama ilivyokuwa kwa LOWASSA kule CCM na hapo ingemuwia vigumu kujiondoa CHADEMA kwa kuogopa kuitwa mpenda madaraka. MBOWE na kundi lake wakabaki wameduwaa. Magazeti yakabaki yanaandika "URAIS CHADEMA KAA LA MOTO".
Kuondoka kwa SLAA sasa ni mwiba kwa MBOWE, LOWASSA na CHADEMA kwa ujumla. Kuna uwezekano wa kuwa kama USAJILI FYONGO KABISA kufanywa na CHADEMA, kumuinga LOWASSA na kuondoka SLAA. Sipati picha SLAA anasimama jukwaa tofauti na la CHADEMA kwa ajili ya kuomba au kumnadi mgombea asiye wa CHADEMA huku akitumia agenda ya ufisadi wa Lowassa kama turufu ya kuwauwa wapinzani wake.
Itakuwa haina tofauti na TIMU KAMA REAL MADRID KUMUUZA MCHEZAJI KAMA CHRISTIANO RONALDO KWA MANU HUKU WAKIMCHUKUA MCHEZAJI KAMA ASHLEY YOUNG HALAFU TIMU HIZO ZIKAKUTANA.
aliyekuwa "fisadi" ni bora kuliko mchungaji.
Maajabu ya wachagga.
haaahaaaa du mbavu sina mie heee chama cha mbowe na familia yake hakuna wa kupinga maamuzi