Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Mnafiki na mzandiki Zitto sijui ataficha wapi sura yake,
Haya wafadhili wa chama waliopo ughaibuni wamesifu usimamizi imara na udhibiti wa pesa za chama.
Sasa jiandae baada ya siku nne zilizosalia kwenye siku 14, jiandae tunakurudisha mwandiga ukavue migebuka, siasa ulivamia kwa pupa kijana!
Waraka wa ushindi unasema. "Matumizi ya fedha ya chadema wanajua wahusika watatu tu,Mtendaji mkuu ,Msaidizi wake na Mtunza fedha!!
Waraka wa ushindi unasema. "Matumizi ya fedha ya chadema wanajua wahusika watatu tu,Mtendaji mkuu ,Msaidizi wake na Mtunza fedha!!
Mnafiki na mzandiki Zitto sijui ataficha wapi sura yake,
Haya wafadhili wa chama waliopo ughaibuni wamesifu usimamizi imara na udhibiti wa pesa za chama.
Sasa jiandae baada ya siku nne zilizosalia kwenye siku 14, jiandae tunakurudisha mwandiga ukavue migebuka, siasa ulivamia kwa pupa kijana!
Haihusiani na waraka. ulichoandika ni out of the topic.
Duh!
Bila shaka utakuwa mke mwenza wa Mama Slaa, unajua hadi kuwa alinunua pochi ya usd 500 alipokuwa USA??
NAJIULIZA TU.
Super star wa TISS! superstar wa usaliti superstar wa umaarufu by all means!!Kuna mambo mengine yanachekesha sana,hivi wewe na ZZK nani anaijua sana CDM?au nani ni Superstar?
Unataka hit ZZK akupandishe shame on you mchumia tumbo
Kubeba madumu ya tindikali na sumu kwa maelekezo ya mbowe unajiona noumah.....!!!!
Mnafiki na mzandiki Zitto sijui ataficha wapi sura yake,
Haya wafadhili wa chama waliopo ughaibuni wamesifu usimamizi imara na udhibiti wa pesa za chama.
Sasa jiandae baada ya siku nne zilizosalia kwenye siku 14, jiandae tunakurudisha mwandiga ukavue migebuka, siasa ulivamia kwa pupa kijana!
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
Usimamizi wa fedha za CCBRT haziusiani na Chadema Mkuu