Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
Utumishi wa umma umepoteza maadili, ari ya kufanya kazi na tija IMEJIKITA kaburini.
Dr. Slaa atarekebisha upuuzi huu ulioshamiri chini ya utani utani wa JK kwa kufanya utumishi wa umma kuwa na hadhi kama enzi zile za Nyerere na kuwa ufisadi, uzembe kazi, ajira za kujuana na kwa vihiyo yote kutoweka mara moja chini ya muda mfupi tu.
Kwa hali hii tija itarudi serikalini na nitakuwa wa kwanza kuripoti TRA kulipa kodi yangu stahili maana ninaelewa ya kuwa kweli watumishi wa umma wanatija siyo viwavi jeshi
AKSHANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA KUTUPATIA DR. SLAA
Dr. Slaa atarekebisha upuuzi huu ulioshamiri chini ya utani utani wa JK kwa kufanya utumishi wa umma kuwa na hadhi kama enzi zile za Nyerere na kuwa ufisadi, uzembe kazi, ajira za kujuana na kwa vihiyo yote kutoweka mara moja chini ya muda mfupi tu.
Kwa hali hii tija itarudi serikalini na nitakuwa wa kwanza kuripoti TRA kulipa kodi yangu stahili maana ninaelewa ya kuwa kweli watumishi wa umma wanatija siyo viwavi jeshi
AKSHANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA KUTUPATIA DR. SLAA