Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,417
- 1,543
Tumia kiswahili tu ndugu
Umenisaidia kujua huyu mtu ana kiwango gani cha elimu kwa bahati mbaya hata kiswahili kinamshinda sembuse lugha ya watu!hebu msome tena hajui matumizi ya L na R katika post zake zote,sasa hapo juu "vepesi" ndio nini?