Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Katika hali ya kutia hamasa,
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Dr Wilibroad Slaa katika siku za awali za mwaka (2014),
Ameorodheshwa katika jarida la Uchambuzi wa siasa nchini Ujerumani kama Mtu mwenye ushawishi zaidi, katika kanda ya Afrika Mashariki, Dr Slaa ambae amewahi kuwa mgombea wa Uongozi wa juu kabisa Nchini Tanzania, Anaangaliwa zaidi kwa jicho la karibu na watanzania walio wengi,
Akifanya Mahojiano katika jimbo la Bavaria,Mhariri wa gazeti la kila siku Nchini Ujerumani,Iern Madrne, Aliwapa Maono yake kuhusu nchi zinazoendelea hususani Nchi za Afrika Mashariki, Na kupongeza kazi inayofanywa na chama cha Upinzani nchini Tanzania Chadema,
Dr Slaa anatarajiwa kuwa na Ziara ya kikazi katika Jimbo la Bavaria Nchini Ujerumani hapo baadae mwaka huu.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Dr Wilibroad Slaa katika siku za awali za mwaka (2014),
Ameorodheshwa katika jarida la Uchambuzi wa siasa nchini Ujerumani kama Mtu mwenye ushawishi zaidi, katika kanda ya Afrika Mashariki, Dr Slaa ambae amewahi kuwa mgombea wa Uongozi wa juu kabisa Nchini Tanzania, Anaangaliwa zaidi kwa jicho la karibu na watanzania walio wengi,
Akifanya Mahojiano katika jimbo la Bavaria,Mhariri wa gazeti la kila siku Nchini Ujerumani,Iern Madrne, Aliwapa Maono yake kuhusu nchi zinazoendelea hususani Nchi za Afrika Mashariki, Na kupongeza kazi inayofanywa na chama cha Upinzani nchini Tanzania Chadema,
Dr Slaa anatarajiwa kuwa na Ziara ya kikazi katika Jimbo la Bavaria Nchini Ujerumani hapo baadae mwaka huu.