MKONOWADHAMBI
Member
- Jun 1, 2015
- 10
- 0
tunahitaji mabadiliko, lowasa ni mtanzania kwa nini abaguliwe? Ccm ni wabaguzi ukawa ni wa upendo na amani. Ukawa woyeeeeeeeeeeee mabadiliko ni lazima na mabadiliko ni sisi tujitokeze kuhakiki taarifa zetu kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
Dr Slaa shikamoo unajitambua,maana ingekuwaje uketi meza moja na Lowassa mwenye utitiri wa kashfa na wewe wazijua,Kama ulivyozimwaga Mwembeyanga,Heko Slaa imeipa raha nafsi Yako na kukataa kula matapishi
slaa ana msimamo wake tofauti na lipumba ambaye anaonekana kuwa na tamaa
leo hii mnamtukana dr slaa kweli nyinyi chadema
Hivi nyie mnataka kutuamisha utakatifu wa lowasa,mnatumia kigezo gani?
Rafiki yake mpendwa ambaye hakuokotana barabarani aliwaambia wajumbe kwamba 1995 jina la el lilikatwa kwa sababu ya ukwasi usio na maelezo,mwenyewe HAJAKANUSHA.
Basi wewe tutajie hao watakatifu sana wanaomnyooshea kidole EL. Sisi wananchi tuna uhakika huko kwenu hakuna hata mmoja. We need TRANSFORMATION bana, ikiwa nyie mnawaweka hao hao wenye tuhuma, basi acha tushindane kwa kura
Basi wewe tutajie hao watakatifu sana wanaomnyooshea kidole EL. Sisi wananchi tuna uhakika huko kwenu hakuna hata mmoja. We need TRANSFORMATION bana, ikiwa nyie mnawaweka hao hao wenye tuhuma, basi acha tushindane kwa kura
We utakuwa sio mtanzania tafuta maneno ya mwana Wa mfalme utaelewa amemaanisha mini LA sivyo ludi kwenu burundiWewe utakuwa hujuhi maana ya ubaguzi na nakushauri nenda S.Afrika ukawaulize watakuelimisha vizuri sana ..Lowassa ni mwizi na mhaini
Si rahis kabisa kwa namna yoyote ile huyu ndugu yenu aende ikulu, mtajifariji wee, mtajipa matumaini weee, mtanunu bodaboda ili kuwaaaminisha watanzania kuwa mnakubalika lakini mwisho wa siku mtashangaa macho yenu, hii nchi si ya wahuni, ni nchi inayoendeshwa kwa misingi ya kidemokrasia na ustarabu. Magufuli ana record yake nzuri tu ambayo ameipata chini ya mfumo huu huu tena amaeshine kweli. ebu waza kidogo na 25.10.2015 mpe mamlaka kamili uone kazi itakavyokuwa mchakamchaka, sio wale wanaoimba mchaka mchaka wakati hawawezi huo mchakamchaka