Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Kwa Mwaka huu chadema.kama.mgombea angekuwa Dr Slaa tungepigwa vibaya na viti vingi vya.ubunge tungepoteza
Hujui. Tulia. Siyo kila kitu ucoment. Nina uhakika hata nikiandika hapa mantiki hutanielewa...kwa sababu kama utasoma mstari baada ya mstari coments zangu utagundua mimi ni muumini wa nini...hilo nalo umeshindwa kung'amua na badala yake umenicharacterize "mimi ni gamba la CCM"...Well and good!. Enjoy the platform...fanya hivyo kwa kuargue, siyo kitukana au kumkashifu yeyote. Kutukana ni sifa za mjinga/mpumbavu/mtu asiye mstaarabu.Hizo hoja ulizojenga zikasaidia hii nchi ikawa kama Newyork mbona hazionekani wewe gamba la ccm? acha kunitisha na ban wewe mwizi wa CCM
leo hii mnamtukana dr slaa kweli nyinyi chadema
Nenda Dk. Slaa hakika utaishi ndani ya moyo wangu mpaka kufa kwangu, hakika wewe ni mwanasiasa pekee hapa Tanzania kuwahi kutokea ***Mungu akubariki Dk****
Ni kweli ni mwanasiasa wa kipekee kuwai kutokea tanzania
1.Alifukuzwa upadri kwa tamaa za ngono
2.Alimtelekeza mke wake wa kwanza na watoto wawili kwa tamaa za ngono
3.Alipora mke wa mtu kwa tamaa za ngono
4.Alimpatia hawara yake kazi makao makuu ya chadema kwa tamaa za ngono
ziada ya upekee wake
1.Alijikopesa pesa ya ruzuku ya chama na bado ajarudisha
2.Ndiye katibu mkuu anayepokea mshahara mkubwa zaidi ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa tanzania lakini hana uchungu na chama chake zaidi ya ubinafsi na kujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chama kinachomlipa mshahara.
3.Aliamini yeye ni mgombea wa kudumu chadema
4.Mwisho aliamini chadema kama chama cha siasa kuchukua dola lazima yeye na hawara yake waamie magogoni
akika ni wa kipekee
Ni kweli ni mwanasiasa wa kipekee kuwai kutokea tanzania
1.Alifukuzwa upadri kwa tamaa za ngono
2.Alimtelekeza mke wake wa kwanza na watoto wawili kwa tamaa za ngono
3.Alipora mke wa mtu kwa tamaa za ngono
4.Alimpatia hawara yake kazi makao makuu ya chadema kwa tamaa za ngono
ziada ya upekee wake
1.Alijikopesa pesa ya ruzuku ya chama na bado ajarudisha
2.Ndiye katibu mkuu anayepokea mshahara mkubwa zaidi ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa tanzania lakini hana uchungu na chama chake zaidi ya ubinafsi na kujiona yeye ni mkubwa zaidi ya chama kinachomlipa mshahara.
3.Aliamini yeye ni mgombea wa kudumu chadema
4.Mwisho aliamini chadema kama chama cha siasa kuchukua dola lazima yeye na hawara yake waamie magogoni
akika ni wa kipekee
Ahsante kwa mitusi uliyoporomosha. Bakizeni maneno.
Kuna watu uelewa wao ni mdogo sana, na hawa ni wale bendera fuata upepo....Dr Slaa huwezi kumlinganisha na mwanasiasa yeyeto hapa Tanzania...Kwa uadilifu, kusimamia uadilifu na misingi. He was for real change na kujenga institution imara ya CHADEMA, CHADEMA imekuwa maarufu sababu ya kusimamia maadili...baada ya uchaguzi ni nini kitawatofautisha CHADEMA na CCM?
Wale vijana msojielewa aacheni kumkebehi Slaa....sababu hammjui na hamuelewi. Kwa ajili ya kuanza upya baada ya uchaguzi mkuu....poa but hakutakuwa na chadema imara.
leo hii mnamtukana dr slaa kweli nyinyi chadema
Kumbeee, naanza kuelewa sasa.
Magufuri huku mikoa ya kati na kanda ya ziwa anakubalika sana hivyo kumwekea Slaa ilikuwa sawa na kujiandaa kuja kudanganya UKAWA wameibiwa kura,mtu powerful na anayefahamika sambamba na Magufuri ni Lowassa. Watu wanajidaganya sana eti Slaa angemnyima usingizi Magufuri. Huyu mzee amejidharirisha sana ukizigatia eti ni kiongozi wa kiroho.
Mabadiliko ndio dira inayotuongoza!
slaa ana msimamo wake tofauti na lipumba ambaye anaonekana kuwa na tamaa
Kama ni hivyo basi na aende zake sisi haturudi nyuma. Huku kanda ya ziwa tumeshaamua tayari ni lowasa tu kwani magufuri hawezi ndani ya mfumo wa kijizi na kulindana na pengine tungesema labda kama kuwa na Rais au waziri mkuu ni faida mbona nyerere ametuacha vibaya au hata alikotoka pinda au sumayi kote choka mbaya bora Kwa lowasa monduli kidogo pameendelea. Urais wa magufuri ni wa kwake, Familia yake na wezi wenziye haupati ng'o mambo yote Kwa lowasa.