Chimo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2008
- 714
- 360
Mi kwa Mtazamo wangu kuna watu humu JF Wameshaona kama Chadema ni dini na Dr. Slaa ni NABII Utatukanwa na wahusika watasoma matusi yao na Kila kejeli utakazotumiwa lakini hawata wapa Ban, ila sasa Mod aone wewe ukijibu kejeli anaku suspend hii ndio JF Ya Ma great thinker bwana