vitu kama hivi hakuna budi kuvitafutia vipindi maalum kwenye TV kama inawezekana virushwe hewani muda ambao watz wengi watakuwa wanaangalia TV. Chadema wahusika tafuteni muda mzuri kabisa wekeni hii CV ya bungeni ya huyu mzee hata kwa wiki nzima tuone kama atatoka mtu salama.
Mpaka hapo keshapandisha presha za watu, chonde chonde jamani ningekuwepo karibu ningejitolea kufanya hiyo kazi. Vijuisheni vitu kama hivi harafu viitwe kipindi maalumu cha Dr Slaa Bungeni na itasaidia sanaa. sijui ni TV gani ya kizalendo, ila fanyeni hima hata kama KBC ya kenya watu wataangalia, au BBC itasaidia kuwaamsha watu waliondani ya usingizi mnono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.