The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 818
Ukitazama ziara ya katibu wa CCM inayoendelea kwenye baadhi ya mikoa, utaona kuna mengi ya kujifunza kwa viongozi wa CHADEMA.
Binafsi sio mpenzi wa siasa za chama, lakini huwa napenda kuona namna vyama vinavyoshindana kwa hoja, ziara ya kinana imeonesha kurejesha matumaini ya wa-tz kwa CCM.
Nilichokiona kikubwa kwa kinana ni namna anavyogusa maisha ya watu anaowatembelea(hata kama kwa ahadi hewa), wananchi wana matatizo ya ardhi, maji, kilimo nk. hili Kinana amelijua mapema, Slaa jifunze hapo.
Binafsi sio mpenzi wa siasa za chama, lakini huwa napenda kuona namna vyama vinavyoshindana kwa hoja, ziara ya kinana imeonesha kurejesha matumaini ya wa-tz kwa CCM.
Nilichokiona kikubwa kwa kinana ni namna anavyogusa maisha ya watu anaowatembelea(hata kama kwa ahadi hewa), wananchi wana matatizo ya ardhi, maji, kilimo nk. hili Kinana amelijua mapema, Slaa jifunze hapo.