Dr Slaa aizika CCM Tunduma


Watu huwa wanakuja wengi kumshangaa. Nikiwemo. Wengi wetu huwa hatuamini kama padre anaweza kuishi na kimada mpaka leo na pia huwa hatuamini kama huyu ni mwana siasa au mzee wa bonanza.
 
Nyie hakuna mnachopenda nchi hii hata makabisa hamuapendi maana ndo mnasema yamewafanya mkose kazi.. Wenzenu wanasoma nyie mko bize kuandik kukota kulia kwenda kushoto
Kigogo kwa nyuma, punguza jazba Mkuu... Upogo wa Udini umekujaa sana, unashindwa hata kuona maandishi vema. Adui wetu ni mmoja tu CCM. na ili tuing'oe tunahitaji michango ya waislam na wakristo kwa umoja wetu... sote tumepigika mbaya, Rasilimali zetu hazitunufaishi sis walengwa...
 
We muntu we Izina li wafumya kwi?
Utunjiyila izina. Nene ali Chilipamwao! we weni?
Nabadilisha Nene Chiliumupanga
 
Dr wa ukweli aliye mioyoni mwa watanzania,tuonyeshe njia nasi tutaifuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…