Dr.Slaa Acha Unafiki!

Dr.Slaa Acha Unafiki!

Ona naye huyu juzi kalialia hapa sijui mtoto wake halali usiku akapewa dawa kumbe ni GAMBA.

sasa mtoto kunaingiaje hapa na mambo ya siasa ukweli ndio tunaongea yanataka serikari tatu ili yapate madaraka halafu tukiwapa nchi itakuwa majanga wanataka kuruhusu pombe haramu si vijana wetu hawatafanya kazi CCM ndio chama makini nyingine ni za ukoo
 
Kwa uandishi wk km kuku hustahili kumuongelea Dr. Slaa. Umeandika upuuzi na njaa zako zitakufanya ugegedwe maisha yaako yote
 
Back
Top Bottom