MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
- Thread starter
- #21
Slaa anajifanya kuwa aliibiwa kura mwaka 2010 na uvumilivu wake ndio uliepusha nchi na machafuko. Huyu mzee mnafiki sana.
Obama ni DR?ubongo unaoingia hewa utaujuwa tu![/QUOTE]Watu wanaandika kuhusu Obama ndiyo atakuwa huyo kanjanja?!
Kuleta thread nacho ni kitu cha ajabu? Its high time huyu Padri Babu aache unafiki sasa.
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe jipange uje tena.
Wakati Rais Jakaya Kikwete anaanzisha mchakato wa kupata Katiba mpya, wewe Mzee na wenzio wapinga maendeleo ndio mlikuwa wa Kwanza kupinga uteuzi wa JAJI WARIOBA kama mwenyekiti wa tume hiyo. Na mliweka kila aina ya vikwazo ili kukwamisha mchakato huu, huku mkisema Katiba mpya ni SERA YENU. Nimetazama Taarifa ya habari ITV saa mbili hii, Mnafiki Dr.W.Slaa anasema kuwa anaiunga mkono rasimu ya JAJI Warioba kwa asilimia mia. Hivi Dr.Slaa ni lini umekuwa mpenda maendeleo? Unasapoti Rasimu ya warioba kisa tu amependekeza serikali tatu kama nyie au kwa sababu ya Msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili? Huu unafiki wako unaonyesha wewe haufai hata kupewa mamlaka ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
wewe choo kama jina lako acha mbwembwe za matusi kama jinalako nani walikuwa na hoja ya katiba kwenye ilani yao 2010 kenge maji wewe.Wakati Rais Jakaya Kikwete anaanzisha mchakato wa kupata Katiba mpya, wewe Mzee na wenzio wapinga maendeleo ndio mlikuwa wa Kwanza kupinga uteuzi wa JAJI WARIOBA kama mwenyekiti wa tume hiyo. Na mliweka kila aina ya vikwazo ili kukwamisha mchakato huu, huku mkisema Katiba mpya ni SERA YENU. Nimetazama Taarifa ya habari ITV saa mbili hii, Mnafiki Dr.W.Slaa anasema kuwa anaiunga mkono rasimu ya JAJI Warioba kwa asilimia mia. Hivi Dr.Slaa ni lini umekuwa mpenda maendeleo? Unasapoti Rasimu ya warioba kisa tu amependekeza serikali tatu kama nyie au kwa sababu ya Msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili? Huu unafiki wako unaonyesha wewe haufai hata kupewa mamlaka ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
........Dr.W.Slaa anasema kuwa anaiunga mkono rasimu ya JAJI Warioba kwa asilimia mia.
Nina wasiwasi na elim yako,maana uwezo wako wa kufikili ni mdogo mno. naomba nikuulize swali dogo tu nini maana ya muungano?Wakati Rais Jakaya Kikwete anaanzisha mchakato wa kupata Katiba mpya, wewe Mzee na wenzio wapinga maendeleo ndio mlikuwa wa Kwanza kupinga uteuzi wa JAJI WARIOBA kama mwenyekiti wa tume hiyo. Na mliweka kila aina ya vikwazo ili kukwamisha mchakato huu, huku mkisema Katiba mpya ni SERA YENU. Nimetazama Taarifa ya habari ITV saa mbili hii, Mnafiki Dr.W.Slaa anasema kuwa anaiunga mkono rasimu ya JAJI Warioba kwa asilimia mia. Hivi Dr.Slaa ni lini umekuwa mpenda maendeleo? Unasapoti Rasimu ya warioba kisa tu amependekeza serikali tatu kama nyie au kwa sababu ya Msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili? Huu unafiki wako unaonyesha wewe haufai hata kupewa mamlaka ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
tuwape nchi wakati hata hajaoa sitakuwa aibu ya dunia
Sasa slaa atumikie wananchi yeye ni rais ss tunamshangaa rais wenu anashinda nje ya nchi au ana b mdogo huko! Maana si bure,Slaa hayuko kuwatumikia wananchi. Yeye raha yake ni porojo tu ili aonyeshwe kwenye vyombo vya habari.
Msalani, hakuna unafiki mkubwa dunini kama balozi wa china kuvaa kofia accm na kutangaza sea za ccm. Angalia avatar yako. CCM ni wanafiki hakuna mfano.Kuleta thread nacho ni kitu cha ajabu? Its high time huyu Padri Babu aache unafiki sasa.