MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Wakati Rais Jakaya Kikwete anaanzisha mchakato wa kupata Katiba mpya, wewe Mzee na wenzio wapinga maendeleo ndio mlikuwa wa Kwanza kupinga uteuzi wa JAJI WARIOBA kama mwenyekiti wa tume hiyo. Na mliweka kila aina ya vikwazo ili kukwamisha mchakato huu, huku mkisema Katiba mpya ni SERA YENU. Nimetazama Taarifa ya habari ITV saa mbili hii, Mnafiki Dr.W.Slaa anasema kuwa anaiunga mkono rasimu ya JAJI Warioba kwa asilimia mia. Hivi Dr.Slaa ni lini umekuwa mpenda maendeleo? Unasapoti Rasimu ya warioba kisa tu amependekeza serikali tatu kama nyie au kwa sababu ya Msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili? Huu unafiki wako unaonyesha wewe haufai hata kupewa mamlaka ya kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
Last edited by a moderator: