Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
Mwanzoni alikuwa lulu ghafla amepotea, kuna sehemu kapata ajira au fedha zimeshawasili?
Ngoja tuwasikie wataalamMwanzoni alikuwa lulu ghafla amepotea, kuna sehemu kapata ajira au fedha zimeshawasili?



Aiseeh!Yupo tabata mawenzi ANAVUTA KUBWA, MACHO MEKUNDU KAMA SHORWE
MI nilipishana nae Mnazi Mmoja last week, alikuwa smart, mdogo mdogoNimemuona leo jioni maeneo ya Sinza karibu na stendi ya Mawasiliano akitoka 'kazini'. Alikuwa kapendeza.
Ila alikuwa anatembea kwa mguu huku anaangalia chini.
Anafundisha mafunzo ya kijasusiMwanzoni alikuwa lulu ghafla amepotea, kuna sehemu kapata ajira au fedha zimeshawasili?
Alipotezwa na tangazo la ujio uraiani akina Babu Seya!AMEINGIA GHAFLA,Amejulikana GHAFLA,naona umaarufu unapotea ghafla,hawezi kuhimili maisha ya uchumi wa sasa.!
Bora dr, hao ndio hawaja trend kabisa, mikwara mingi kwamba ujio wao utatikisa lakini hakuna kitu. Dr ali trend huwezi linganisha na hao kabisaAlipotezwa na tangazo la ujio uraiani akina Babu Seya!
Hao walikosea timing yani ilifaa walipotoka tu jela wapige show taifa wangepiga hela ndefu sanaBora dr, hao ndio hawaja trend kabisa, mikwara mingi kwamba ujio wao utatikisa lakini hakuna kitu. Dr ali trend huwezi linganisha na hao kabisa
Yupo tabata mawenzi ANAVUTA KUBWA, MACHO MEKUNDU KAMA SHORWE
Tatizo ni ujio wao "kutekwa" na dola, wakapoteza mvuto na sasa hivi tunatamani warudishwe lupangoHao walikosea timing yani ilifaa walipotoka tu jela wapige show taifa wangepiga hela ndefu sana
Mie nawaona wasanii tu wale. Yule dogo aliandika waraka mreefu kuwa akipata msamaha wa rais, basi atafanya kazi ya kumsifu Mungu. Ametoka, anafanya kinyume kabisa. Akumbuke Mungu hadhihakiwi na yatamrudi!Hao walikosea timing yani ilifaa walipotoka tu jela wapige show taifa wangepiga hela ndefu sana