cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,602
- 5,588
kina dr shika huwa wanakujaga kama popobawa,sijui mtu ametoka manyonya alivyompa ombaomba ela..wana mda wao nchi ikiwa kwe pressure ila ikiisha nao wanapotea..zinaitwagwa propagandaMwanzoni alikuwa lulu ghafla amepotea, kuna sehemu kapata ajira au fedha zimeshawasili?