Si walisema hana vidole viming'olewa !! Asa hivi ni vya bandia auu!!?Dr Shika amekamilisha muamala aliotakiwa kuufanya ili atumiwe pesa zake, ilikuwa inahitajika dola 100, tayali ametuma Leo kupitia benk ya equity kwenda benk ya Bangkok inchin Thailand. Tusubili aje kunyamazisha watuView attachment 632875