Dr. Shein: Tutaendelea kutekeleza ahadi zetu tulizotoa

MKWEPA KODI

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
28,701
71,051
Rais wa zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein ameahidi kuwa wataendelea kutekeleza ahadi zao walizotoa.

Chanzo: Zanzibar leo
 
Ampishe Maalim Seif hapo ikulu then atekeleze hizo ahadi akiwa pale Kisiwandui. Wazanzibar hawamtambui yeye (Shein) kama rais wao.
 
Ampishe Maalim Seif hapo ikulu then atekeleze hizo ahadi akiwa pale Kisiwandui. Wazanzibar hawamtambui yeye (Shein) kama rais wao.
Ameahidi kuzitekeleza ahadi zote kwa hiyo nafikiri wazanzibari watamuelewa
 
Kama kiongozi mkuu wa nchi pia anawajibu wa kutatua KERO KUU ILIYOPO SASA!! Hayo ya ahadi awaachie walio ahidi,
 
Hapo mkuu sijakuelewa, naomba urudie vizuri ili nikuelewe

@MKWEPA KODI hope unakifahamu fika mgogoro wa kisiasa ZNZ na siasa ndio utawala wa nchi unaosimamia maeneo ya uchumi na jamii kwa ujumla wake. Katiba inamtambua na kumheshimu kwamba yeye ndiye Raisi baada ya uchaguzi kuvurugika, sasa kwake Uchaguzi/kupatikana kwa raisi mpya ndiyo inatakiwa kuwa sehemu yake kuu kuishughulikia kwani kuendelea na mengine ambayo watendaji wake wapo kisheria na yeye kulifumbia macho na kulizibia maskio hili la upatikanaji wa RAIS mpya halina tofauti na kule kwa jirani wetu kwani hata yeye anadai kwamba wako shwari lakini hawako shwari
 
Jana Prof. Lipumba amemsihi atumie busara kama anataka wanaharakati wawachochee vijana waanze mapambano ya kupinga utawala wake?!
 
anatakiwa atekeleze ahadi moja kuu italeta maendeleo na gharama za maisha zitashuka zanzibar na nitampa heshima sana nayo ni KUWA MAKAMO WA RAIS WA ZANZIBAR KWA 2015-2020
 
@MKWEPA KODI hope unakifahamu fika mgogoro wa kisiasa ZNZ na siasa ndio utawala wa nchi unaosimamia maeneo ya uchumi na jamii kwa ujumla wake. Katiba inamtambua na kumheshimu kwamba yeye ndiye Raisi baada ya uchaguzi kuvurugika, sasa kwake Uchaguzi/kupatikana kwa raisi mpya ndiyo inatakiwa kuwa sehemu yake kuu kuishughulikia kwani kuendelea na mengine ambayo watendaji wake wapo kisheria na yeye kulifumbia macho na kulizibia maskio hili la upatikanaji wa RAIS mpya halina tofauti na kule kwa jirani wetu kwani hata yeye anadai kwamba wako shwari lakini hawako shwari
Mkuu mimi natoa tu taarifa niliyoiona kwenye gazeti la serikali la zanzibar
 
Jana Prof. Lipumba amemsihi atumie busara kama anataka wanaharakati wawachochee vijana waanze mapambano ya kupinga utawala wake?!
Watakuwa wanamuonea kwa sababu ameahidi kutekeleza Yale yote waliyoahidi
 
Back
Top Bottom