The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,462
Dr remmy ongala amefariki......mungu ailaze roho yake mahali pema peponi ameeennilipokuwa mdogo as i was growing up,nyimbo za remmy zilikuwakama ndo sounds of tz...those days only radio tanzania ndio ilikuwa hewani..naona kama ile tanzania ya zamani inazidi kupotea....the good old golden days...ambapo watanzania walikuwa ndugu zaidi,wamoja zaidi,na walifanana.....not these days......watoto wanawajua jay z na beyonce kuliko watu kama dr remmyambao nyimbo zao ziliwakilisha maisha ya watanzania wengi mjini na vijijini licha ta dr remmy kuwa na mke mzungu na watoto ma half casts na kuishi maisha ya kisasa kidogo,but nyimbo zake zilikuwa zinawakilisha wanyonge wa tabaka la chinikuna nyimbo moja aliimba kijijini mahindi yakiibiwa naambiwa ni mimi,mjini naitwa mzururaji, ah very classic song......i will be missing u.....dr remmy....