Maida Mari
Member
- Dec 15, 2011
- 57
- 9
Waislam leo wameweza kuandamana bila ya kuitisha Press conference wala kutangaza kwenye media yoyote kama vile walivyofanikiwa kususia sensa pamoja na hila nyingi za serikali pamoja na shoga zao wa muda, hakuna hata Aliesukumwa,hakuna uporaji,hakuna uvunjifu wa amani,wanngetangaza maandamano basi wale mawakala wa serikali wangewahi kuchoma moto makanisa,kuchoma moto magari ili ionekane wamechangia uvunjifu wa amani,
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
3. Tatizo ni Ndarichako au mfumo?
Naomba tujadili wadau
Hivi hawa waislmu mbona wasumbufu hivyo? Wao si wapo 20% sasa wanaonewa kivipi wakati hata vitu vya maana km sensa wao wanaleta soga zao?
..Nani anamfaham mume wa Dr. Ndalichako? This is a million dollar question!
Tatizo the way mnavoidefine dini kwa kuihusisha ni part tu ya maisha, NO!
Ni kila unachofanya, even uchumi nao unaingia ktk dini mkuu. Sina haja ya kuanza kushuka nondo hapa the way uislam unavozungumzia namna ya kutokomeza umaskini ktk jamii...mifumo halali ya kisiasa, sheria, Kanuni na Taratibu za kila ukifanyacho.
Lengo la kuumbwa kwako ni kumtumikia aliyekuumba na kuishi atakavyo kila sekunde unayovuta pumzi, nna imani hukatai yupo aliyekuumba achilia mbali slogan kwmba dini tumeletewa kutupumbaza.
Hivi hawa Waislamu zaidi ya Kusengenya Viongozi hawana kingine cha kuhubiri huko Misikitini? oh mara huyu katufelisha, mara mfumo kristo, mara sensa, mara kafir. Ukisikia mawaidha yao utashangaa jinsi wasivyokuwa na cha kufundishana zaidi ya chuki, mara wanaonewa na mengineyo. Ninaishi karibu na Msikiti yaani yanayohubiriwa huko huwezi amini ni kusanyiko la Waumini wa Mwenyezi Mungu.Jazba JAZBA,
Hivi hawa Waislamu zaidi ya Kusengenya Viongozi hawana kingine cha kuhubiri huko Misikitini? oh mara huyu katufelisha, mara mfumo kristo, mara sensa, mara kafir. Ukisikia mawaidha yao utashangaa jinsi wasivyokuwa na cha kufundishana zaidi ya chuki, mara wanaonewa na mengineyo. Ninaishi karibu na Msikiti yaani yanayohubiriwa huko huwezi amini ni kusanyiko la Waumini wa Mwenyezi Mungu.Jazba JAZBA,
hivi hawa waislamu zaidi ya kusengenya viongozi hawana kingine cha kuhubiri huko misikitini? Oh mara huyu katufelisha, mara mfumo kristo, mara sensa, mara kafir. Ukisikia mawaidha yao utashangaa jinsi wasivyokuwa na cha kufundishana zaidi ya chuki, mara wanaonewa na mengineyo. Ninaishi karibu na msikiti yaani yanayohubiriwa huko huwezi amini ni kusanyiko la waumini wa mwenyezi mungu.jazba jazba,
Mkuu nakubaliana na mchango n we share the same concern.Nilichokuwa nataka kushare ni kwamba Dini inaambata na Imani na hapa ndiyo watu huwa wanatofautiana mnaweza kuwa dini mmoja lakini imani tofauti hii inatokana na jinsi unavyoelewa na kutafsiri maandiko matakatifu.sasa kwenye haya yanayohusu uchumi ambao unamilikiwa na watu wenye dini na imani tofauti katika kuujengea vigezo na sifa sisiwe imani wala dini.am stand to be corrected.
mkuu baada ya hii na kumuondoa dr ndalichako tutaandamana tena kudai serikali igharamie mahakama za kadhi tumalizie na kumuondoa pinda ili safu yetu ikamilike
Walitumia kimya cha LAWAMA kwa Polisi kweli ww kafir uliyekubub,mlaumu nyerere ndio aliyesababisha na bado.
kuua huko Nyololo wakajua hapa tukipenya hatutapigwa kwa sababu bado Polisi wana hofu ya kulaumiwa. ingekuwa siyo yaliyomo mezani wangeipata jana. Nadhani wangepanga foleni palepale kuhesabiwa.
Baada ya waandamani ya waislam leo kufanikiwa kuwakomboa wenzao ambao walishikiliwa na polisi kwa kukataa kushiri katika zoezi la sensa wamesema wanaenda kujipanga na safari hii NECTA wanataka kushinikiza Dr. Ndarichako kuachia ngazi kwa kile kinachoonekana kuto watendea haki.
Mytake:
1.Je hayo maandamano yatapewa kibali?
2. Serikali watakuwa tayari kumtosa Ndalichako ili kuwafurahisha waandamanaji?
3. Tatizo ni Ndarichako au mfumo?
Naomba tujadili wadau