Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Na mjusi kafiri ni yupi??Kafiri ni yule asiyetaka kumwabudu mungu badala yake ana abudu sanamu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Na mjusi kafiri ni yupi??Kafiri ni yule asiyetaka kumwabudu mungu badala yake ana abudu sanamu
kawaida yao makafiri, wanafanya kila namna kuudidimiza uislam lakini hawatofanikiwa.
Nataka mwandishi amuulize ni kweli NECTA wana chumba kinaitwa CHUMBA CHA KUTUNUKU????
Umesema ukweli kabisa kaka.Si umeona Libya wakristo wamemuua Gadafi aliyekua anaueneza Uislam duniani.Hata Misri ni wao na habari za kiintelijensia hata wanaotaka kumuua Shekhe wetu mkuu ni wao.tena hata huyu ponda nae babake ni mkristo katumwa kufanya kazi ya kuua uislamu.kalabagao
Kafir sio tusi kwa lugha ya kiarabu, lakini tukileta maana zetu za kitanzania ni neno la kuudhi. Nitakujibu kwa maana halisi ya lugha ya kiarab. (Samahani kama ukitafsiri kitanzania)Ninaomba TAFSIRI ya KAFIR. Je, Ni yeyote asiyekuwa MUISLAMU au hata MUISLAMU aweza akawa KAFIR? Na UISLAMU Ni Kubatizwa tu au kuishi kama anavyotaka MUUMBA?
Kafir sio tusi kwa lugha ya kiarabu, lakini tukileta maana zetu za kitanzania ni neno la kuudhi. Nitakujibu kwa maana halisi ya lugha ya kiarab. (Samahani kama ukitafsiri kitanzania)
Islam ni kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu (submission to God), kwa maana hiyo hauwezi kuwa Muislam wakati huo huo ni kafir. Lakini kuna watu wana majina yanayofanana na Uislam lakini matendo yao si ya kiislam. Kitu cha kwanza kabisa katika Uislam ni Kushuhudia "hakuna Miungu, isipokuwa Mungu mmoja na Mtume SAW ni mjumbe wa Mwenyezi Mungu" baada ya hapo ni kuijua dini ya Amani na kutekeleza yaliyoamriwa. Hapo ni kwa kifupi. Please do not translate KAFIR to your own view or many tanzanians views. Tutakosana, ukweli sio tusi
Ninaomba TAFSIRI ya KAFIR. Je, Ni yeyote asiyekuwa MUISLAMU au hata MUISLAMU aweza akawa KAFIR? Na UISLAMU Ni Kubatizwa tu au kuishi kama anavyotaka MUUMBA?
kafiri ni yule asiyetaka kumwabudu mungu badala yake ana abudu sanamu
Hivi nn hasa maana ya neno makafiri au kafiri????
je ni busara kumuita mwenzio hivyo..........???
kwa wale watumiaji je wao wangefurahi kuitwa hivyo???
Kafiri ni yule asiyetaka kumwabudu mungu badala yake ana abudu sanamu
kawaida yao makafiri, wanafanya kila namna kuudidimiza uislam lakini hawatofanikiwa.
hapo uko sawa mkuu!
Duh! Mkuuu naona unacross line. Kabisa umetulia ukawaza na kuona hiki ndio sahihi kuandika?
Kwenu Mods hii ni changamoto kuangalia namna ya kudiscourage udini manake kwa namna unavyokuwa kwa kasi ya ajabu sijui tutaishia wapi.